• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

DKT JAFO AFUNGUA MAONESHO YA NNE MKOA WA PWANI YA BIASHARA VIWANDA NA UWEKEZAJI ATAKA YAWE YA KITAIFA

Posted on: December 17th, 2024

DKT JAFO AFUNGUA MAONESHO YA NNE MKOA WA PWANI YA BIASHARA VIWANDA NA UWEKEZAJI ATAKA YAWE YA KITAIFA


KIBAHA.

Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Selemani Jafo ametoa maagizo kwa Katibu wa Wizara ya Viwanda na Biashara kuhakikisha kuwa maonesho ya Biashara na Uwekezaji Mkoa wa Pwani  yanakuwa maonesho ya kitaifa kwa kushirikiana na mkoa wa Pwani Katika  kuandaa maonesho hayo kila mwaka kuanzia Mwakani 2025,

Akizungumza Leo wakati wa  Desemba 17, 2024 wakati akifungua maonesho ya Biashara, Viwanda na Uwekezaji yanayofanyika Kibaha mkoani Pwani Katika viwanja vya Maonesho hayo kibaha meli moja,

Hata hivyo ametoa wito kwa Watanzania kupenda bidhaa zinazozalishwa nchini ili kusaidia kukuza sekta ya uwekezaji, pamoja na kuzitaka taasisi zinazojihusisha na masuala ya biashara na uwekezaji kuhakikisha zinaweka jitihada kwa kuwa wawezeshaji badala ya kukwamisha katika mchakato wa kuanzishwa kwa Viwanda na uzalishaji bidhaa.

"Nitoe WITO kwa watanzania wakati wa Kupenda bidhaa zetu ni Sasa maana zinazalishwa kwa viwango na Teknologia ya kisasa ambazo zinakizi masoko ya kimataifa kama Ulaya,Amerika,Asia nk" alisisitiza Dkt Jafo


Nae  Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Abubakar Kunenge ameeleza kuwa mkoa unatarajia kuongeza viwanda kwa asilimia 30 ili kuendelea kuchangia kukuza zaidi sekta ya uwekezaji nchini kutoka Pwani,

Mkoa wa Pwani una jumla ya viwanda 1533, ambapo zaidi ya viwanda vipya 131 vimejengwa  kwa kipindi cha miaka minne na haya ni Maonesho ya NNE tokea kuasisiwa kwake,


Hata hivyo aliwataka uwongozi wa Halmashauri ya Wilaya Kisarawe kutangaza Eneo la Uwekezaji wa Viwanda la Visegese industry Park lililopo kata ya kazimbubwi,

Kauli mbiu ya Mwaka 2024 "PWANI SEHEMU SAHIHI YA UWEKEZAJI"

Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • Tangazo kwa Umma Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura February 08, 2025
  • MKITANO WA BARAZA LA MADIWANI April 28, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NIMEFURAHISHWA NA MMLIVYOJIPANGA KISARAWE CHATANDA NA ZAINABU

    May 08, 2025
  • OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS SERIKALI MAPINDUZI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYA KISARAWE

    April 30, 2025
  • KISARAWE YAFANYA UTOAJI ELIMU YA DOZI YA NYONGEZA YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO(IPV2)

    April 30, 2025
  • KUVUNJWA KWA BARAZA LA MADIWANI KISARAWE UONGOZI WAJIVUNIA KUKAMILISHA MIRADI MBALIMBALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 5

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa