• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

LUSHU WA KISARAWE KINARA WA UFUGAJI NGOMBE BORA 2022 KWA MARA YA TANO MFULULIZO

Posted on: August 8th, 2022

LUSHU WA KISARAWE KINARA WA UFUGAJI NGOMBE BORA 2022 KWA MARA YA TANO MFULULIZO

NA

Wazir Wazir

Morogoro-Nanenane

wazirwazir6@gmail.com

Maonesho ya Nanenane Kanda ya Mashariki inayounganisha Mikoa ya Tanga, Morogoro ,Pwani, na Dare es Salaam Yanayoendelea Morogoro wamemchangua mfugaji Ndugu Dotto Charles Lushu kutoka Lushu Ranch wilaya Kisarawe Tarafa ya mzenga kata ya Mafizi kijiji Cha Mafizi kuwa mfugaji Bora wa Mwaka 2022 was Kanda ya Mashariki,

Akitangazwa Mara baada ya kamati shindani ya kutafuta mfugaji Bora wa mifugo walikuta Lushu anaendelea kuwa mfugaji wa mfano Katika Kanda ya Mashariki,

"Tumefuatilia kwa karibu wafugaji wetu wa kanda nje ya maonesho na ndani ya Maonesho kwa vigezo vyetu vinaonesha Lushu anastahiki kuwa mshindi wetu Kwanza wa Kanda ya Mashariki Katika Ufungaji wa Ngombe wa Kisasa Katika Biashara Alisema Mjumbe wa Mashindano"

Kisarawe inaendelea kuwa Ni sehemu ya mfano kwa wafugaji Kanda Mashariki kwa kupanga baadhi ya Maeneo ya malisho ya mifugo aina ya Ngombe ,mbuzi, kondoo ,nk na kuwapatia wafugaji kupata nafasi ya kulisha na kufuga mifugo Yao kwa salama na amani kuondoa migogoro ya Ufugaji Kanda Mashariki,

"Sisi Kisarawe sehemu kubwa ya Maeneo ya Ufugaji tumetenga ili kuhakikisha ufugaji Unakua wenye tija na biashara kwa wafugaji wetu ili kupata faida ya ufugaji Bora na salama Kisarawe kuendana na Sera ya Ufugaji Bora inayoendana na ilani ya chama Cha Mapinduzi Ccm ya kuweka Mazingira salama kwa wafugaji nchini alifafanua Dkt Emmanuel"

Maonesho ya Nanenane Mwaka 2022 Yanayoendelea mkoani Morogoro yanatarajiwa kufungwa na Makamu wa pili wa Rais wa Serikali Mapinduzi ya Zanzibar Mhe Hemed Abdullah na kwisha rasmi tarehe 10.08.2022.

Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • Tangazo kwa Umma Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura February 08, 2025
  • MKITANO WA BARAZA LA MADIWANI April 28, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NIMEFURAHISHWA NA MMLIVYOJIPANGA KISARAWE CHATANDA NA ZAINABU

    May 08, 2025
  • OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS SERIKALI MAPINDUZI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYA KISARAWE

    April 30, 2025
  • KISARAWE YAFANYA UTOAJI ELIMU YA DOZI YA NYONGEZA YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO(IPV2)

    April 30, 2025
  • KUVUNJWA KWA BARAZA LA MADIWANI KISARAWE UONGOZI WAJIVUNIA KUKAMILISHA MIRADI MBALIMBALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 5

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa