• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

MKUTANO WA KATIBU TAWALA WA MKOA WA PWANI NA WATUMISHI WA SERIKALI WILAYA YA KISARAWE

Posted on: August 18th, 2025

MKUTANO WA KATIBU TAWALA WA MKOA WA PWANI NA WATUMISHI WA SERIKALI WILAYA YA KISARAWE.


Kisarawe, 18 Agosti 2025 – Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Bi. Pili Mnyema. leo ameongoza mkutano muhimu na watumishi wa umma katika Wilaya ya Kisarawe, akisisitiza masuala ya uadilifu, uwajibikaji, na maadili katika utumishi wa umma.


Mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe ulihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali, wakuu wa idara, pamoja na watumishi kutoka sekta tofauti. Katika hotuba yake, Katibu Tawala alitoa wito kwa watumishi wote kuzingatia viwango vya juu vya maadili ya kazi na kutekeleza wajibu wao kwa uaminifu na weledi mkubwa.


> “Uadilifu ni msingi wa utumishi wa umma. Serikali haiwezi kufanikisha mipango yake ya maendeleo bila watumishi wenye maadili, waaminifu na wawajibikaji,” alisema Bi.Pili mnyema.




Aidha, alikemea vitendo vya uzembe kazini, matumizi mabaya ya rasilimali za umma, pamoja na tabia za rushwa ambazo zinaathiri utoaji wa huduma bora kwa wananchi. Aliwahimiza watumishi kuwa mfano wa kuigwa katika jamii kwa kufuata sheria, kanuni na taratibu zote za kiutumishi.


Katika mazungumzo yake na washiriki wa mkutano, Katibu Tawala alisisitiza umuhimu wa kuwahudumia wananchi kwa heshima, upendo na ufanisi ili kukuza imani yao kwa serikali.

Mkutano huo ulihitimishwa kwa katibu tawala wa wilaya ya kisarawe Bi. Sara ngwele kumshukuru katibu tawala wa mkoa wa pwani kwa ujio wake wilayani kisarawe katika kutembelea miradi mbalimbali ya serikali wilaya ya kisarawe, aidha aliendelea kushukuru kwa Kusisitiza juu ya uwajibikaji na uadilifu wenye ufanisi kwa watumishi wa kisarawe.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI KWA WAOMBAJI KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI JIMBO LA KISARAWE October 03, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI AWAMU YA PILI KWA WAOMBAJI KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI JIMBO LA KISARAWE October 03, 2025
  • TANGAZO LA MABADILIKO YA RATIBA YA USAILI October 06, 2025
  • MATUKIO MUHIMU YA UKAGUZI WA MBIO ZA MAGARI KITUO CHA KISARAWE KAZIMZUMBWI June 28, 2025
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • WATUMISHI WAPYA WAPATA MAFUNZO ELEKEZI YA UTUMISHI WA UMMA KISARAWE

    September 26, 2025
  • MALARIA KISARAWE HAIKUBALIKI DC MAGOTI

    September 24, 2025
  • KIKAO CHA WARSHA YA KUZUIA UKATILI DHIDI YA WATOTO WALIOKATISHA MASOMO WILAYA YA KISARAWE MWAKA 2025

    August 29, 2025
  • WAZIRI DKT JAFO AFUNGA MTAA AKICHUKUA FOMU YA INEC JIMBO LA KISARAWE AMUOMBEA KURA DKT SAMIA MADIWANI 17 KISARAWE

    August 24, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa