• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

TUNAWASHUKURU SANA WATUMISHI WA KISARAWE MNAVYOJITUMA KWA WANANCHI WETU -DKT JAFO

Posted on: December 15th, 2025

TUNAWASHUKURU SANA WATUMISHI WA KISARAWE MNAVYOJITUMA KWA WANANCHI WETU -DKT JAFO


KISARAWE PWANI.

Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Saidi Jafo, amewataka watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe kufanya kazi kwa umoja,upendo bidii  kwa kushirikiana kwa karibu na Baraza la Madiwani ili kuchochea maendeleo ya wilaya hiyo na kuboresha utoaji wa huduma za msingi kwa wananchi 15/12/2025.


Wito huo ameutoa alipokuwa akizungumza na watumishi mbalimbali wanaofanya kazi makao makuu ya wa halmashauri  ambapo amesema lengo la kikao hicho ni mambo matatu ni kuwashukuru kwa kazi wanazozifanya na kuwaomba waendelee kutoa ushirikiano katika kuwatumikia wananchi wa Kisarawe pamoja na kusikiliza na kuzichukua changamoto za watumishi Kisarawe,


"Leo nimekuja kuwasikiliza na kuzungumza nanyi Vitu muhimu kupendana na kushirikiana kama watumishi wa Serikali. Fanyeni kazi bila kuchoka, kwa kuwa mnalipwa mshahara kwa wakati kwani wapo wananchi wengi bado hawana ajira na wamesoma vizuri tu Fanyeni kazi kama ibada mkifanya hivyo kwa moyo wote mtapata mafanikio makubwa na dhawabu,” amesisitiza Dkt. Jafo.

Ameongeza kuwa watumishi wanapaswa kujiepusha na utendaji wa mazoea na badala yake wafanye kazi kwa ubunifu na uwajibikaji, huku wakiacha alama chanya katika maeneo wanayoyahudumia.


Aidha, amesisitiza umuhimu wa kutafuta rasilimali fedha na kuhakikisha matumizi sahihi ya fedha za miradi ili miradi hiyo iwe na tija na kuleta manufaa kwa wananchi.


Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe, Mwalimu Nyahori Mahumbwe, ameahidi kumpa ushirikiano Mbunge huyo katika kuwatumikia wananchi na kutekeleza ahadi zilizotolewa wakati wa kampeni za uchaguzi ikiwa ni utekelezaji wa ilani ya Chama Cha Mapinduzi CCM.

“Tupo tayari kufanya kazi mchana na usiku kuwatumikia wananchi na kutekeleza ahadi mlizozitoa wakati wa uchaguzi. Watekelezaji wa mkataba ule ni sisi watumishi wa Serikali wa halmashauri ya wilaya Kisarawe hivyo tutahakikisha tunashirikiana kikamilifu kutekeleza Ilani ya Uchaguzi Ile ya 2020-2025,” amesema Nyahori


Naye, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Kisarawe, Wakili Aidan Kitare, amesema madiwani wapo tayari kufanya kazi kwa weledi na mshikamano katika kipindi cha miaka mitano ijayo kwa Ari nguvu na kasi hasa ikizingatiwa kuwa utu na kazi tunasonga mbele kwa pamoja.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KAZI YA MUDA YA UCHAGUZI NA TAREHE ZA MAFUNZO October 16, 2025
  • MATUKIO MUHIMU YA UKAGUZI WA MBIO ZA MAGARI KITUO CHA KISARAWE KAZIMZUMBWI June 28, 2025
  • Mikopo ya Elimu ya Juu kupitia Bodi ya Mikopo (HESLB) June 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 July 02, 2025
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • TUNAWASHUKURU SANA WATUMISHI WA KISARAWE MNAVYOJITUMA KWA WANANCHI WETU -DKT JAFO

    December 15, 2025
  • TUTAWATUMIKIA WANANCHI KAMA ILANI YETU INAVYOTUELEKEZA MADIWANI KISARAWE

    December 03, 2025
  • WATUMISHI WAPYA WAPATA MAFUNZO ELEKEZI YA UTUMISHI WA UMMA KISARAWE

    September 26, 2025
  • MALARIA KISARAWE HAIKUBALIKI DC MAGOTI

    September 24, 2025
  • Tazama zote

Video

JITOKEZE KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU 2025
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa

  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • YAMITOTO
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Togel
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • YAMITOTO
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • Slot Gacor
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • AXL777
  • toto togel
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • NABITOTO
  • KOI200
  • situs toto
  • koi200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200