• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

Ardhi na Maliasili

Idara ya Ardhi na Maliasili ni mojawapo ya Idara za Halmashauri za Wilaya ya Kisarawe. Idara hii inaundwa na jumla ya visekta  vidogo saba (7) chini ya sekta za Ardhi na Maliasili ambavyo ni: (i) Mipango Miji (ii) Usimamizi wa Ardhi (iii) Upimaji na Ramani (iv) Uthamini wa mali (v) Misitu (vi) Wanyamapori (vii) Utalii .

 MAJUKUMU YA IDARA YA ARDHI NA MALIASILI

Kwa ujumla majukumu ya Idara ya Ardhi na Maliasili ni ya kutoa huduma za kitaalam na ushauri kwa wakazi wa eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe, wananchi wengine wa Tanzania na wawekezaji mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi ya Tanzania. Majukumu hayo ni kama ifuatavyo:

  • Kupanga, Kupima na kumilikisha maeneo ya matumizi mbalimbali ya Ardhi kama vile matumizi ya viwanja, taasisi mbalimbali, kilimo, malisho, makazi, wanyamapori nk.
  • Kutoa elimu ya sera na sheria mbalimbali kuhusu masuala ya Ardhi, makazi, wanyamapori, misitu na mazingira ili wananchi wazielewe na kuzizingatia wanapopanga na kutekeleza mipango yao ya maendeleo
  • Kudhibiti na kushauri uendelezaji wa maeneo mbalimbali ya Ardhi unaokwenda kinyume cha sheria na taratibu zinazohusika.
  • Kudhibiti uvunaji holela wa maliasili mbalimbali kama vile misitu na wanyamapori.
  • Kulinda na kuendeleza ustawi wa wanyamapori kwa kutoa leseni za kuwezesha uwindaji endelevu ili shughuli za uwindaji na upigaji picha wa kitalii ziwe endelevu.
  • Kukuza na kuainisha vivutio mbalimbali vya utalii ndani ya eneo la Halmashauri ya Wilaya na uwepo wa kituo cha taarifa mbalimbali za utalii ndani ya Halmashauri ya Wilaya.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI KWA WAOMBAJI KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI JIMBO LA KISARAWE October 03, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI AWAMU YA PILI KWA WAOMBAJI KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI JIMBO LA KISARAWE October 03, 2025
  • TANGAZO LA MABADILIKO YA RATIBA YA USAILI October 06, 2025
  • MATUKIO MUHIMU YA UKAGUZI WA MBIO ZA MAGARI KITUO CHA KISARAWE KAZIMZUMBWI June 28, 2025
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • WATUMISHI WAPYA WAPATA MAFUNZO ELEKEZI YA UTUMISHI WA UMMA KISARAWE

    September 26, 2025
  • MALARIA KISARAWE HAIKUBALIKI DC MAGOTI

    September 24, 2025
  • KIKAO CHA WARSHA YA KUZUIA UKATILI DHIDI YA WATOTO WALIOKATISHA MASOMO WILAYA YA KISARAWE MWAKA 2025

    August 29, 2025
  • WAZIRI DKT JAFO AFUNGA MTAA AKICHUKUA FOMU YA INEC JIMBO LA KISARAWE AMUOMBEA KURA DKT SAMIA MADIWANI 17 KISARAWE

    August 24, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa