• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

MALARIA KISARAWE HAIKUBALIKI DC MAGOTI

Posted on: September 24th, 2025

MALARIA KISARAWE HAIKUBLIKI DC MAGOTI

Kisarawe.

Mkuu wa wilaya Kisarawe Mhe Petro Magoti Leo amefungua Kampeni ya ugawaji vyandarua katika Kata 17 1.kaya 49,825 zimesajiliwa zenye jumla ya wakazi 228,288 katika wilaya yetu ya kisarawe


Ambapo vyandarua 128,439 vyenye gharama ya zaidi ya bilioni moja vimeshasambazwa kwenye kila kijiji kwa ajili ya ugawaji kwa wananchi bila malipo


Akizungumza wakati wa uzinduzi huo,  alieleza kuwa kampeni hiyo imeanza  rasmi kutekelezwa kuanzia Agosti 15, 2025, katika kata 17 na vijiji vyote ambapo zaidi ya watu 1,633,774 wanatarajiwa kunufaika na vyandarua hivyo vinavyotolewa bure.


Aidha, alibainisha kuwa wilaya Kisarawe imeendelea kupiga hatua kubwa katika mapambano dhidi ya malaria, ambapo kiwango cha maambukizi kimeteremka kutoka asilimia kubwa,


Nae Mkurugenzi wa Ugavi na uendeshaji MSD Ndg Victor Sungusia amesisitiza kuwa MSD inaendelea kutoa huduma kwa watanzania katika kuhakikisha wanapata huduma Bora kwa wakati,


*“Idadi ya vifo vitokanavyo na malaria imepungua kwa asilimia 27 kutoka vifo 110 hadi 30. Hii ni hatua kubwa ya mafanikio katika mkoa wa pwani ambapo Kisarawe imo ndani , na ni matokeo ya matumizi sahihi ya vyandarua, unyunyiziaji wa dawa, na usafi wa mazingira,”* alisisitiza  Sungusia


Naye Kaimu Mganga Mkuu wa wilaya wa Kisarawe Dkt. Mramba alisema wilaya Kisarawe tayari imeanza kampeni ya uhamasishaji kutoka Wilaya hadi vitongojini ili kuondoa kabisa ugonjwa wa malaria.


Aliongeza kuwa Mkoa umepokea lita 24,000 za dawa maalum kwa ajili ya kuua viluwiluwi vya mbu ambapo na Kisarawe itanufaika na hizo dawa, ambazo zitatumika kudhibiti mazalia katika maeneo mbalimbali.


Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji halmashauri ya wilaya Kisarawe Mwl Optuna Kasanda alisema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inajivunia mafanikio makubwa ya kupunguza maambukizi ya malaria ni vita kwa jamii hivyo matumizi ya vyandarua ni lazima,


*“Mapambano dhidi ya malaria yanahitaji ushirikiano wa kila mmoja wetu. Kauli mbiu yetu ni Mimi, Wewe, na Tanzania Bila Malaria ifikapo 2030 – Inawezekana,”* alisema Kasanda


Kampeni hii inaratibiwa kwa pamoja na Wizara ya Afya, Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Bohari ya Dawa (MSD), pamoja na Mfuko wa Dunia wa Kupambana na Magonjwa ya Malaria, Kifua Kikuu na UKIMWI (Global Fund). Lengo kuu ni kuokoa maisha na kujenga jamii yenye afya bora isiyo na malaria.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI - MWANDISHI MWENDESHA OFISI September 29, 2025
  • MATUKIO MUHIMU YA UKAGUZI WA MBIO ZA MAGARI KITUO CHA KISARAWE KAZIMZUMBWI June 28, 2025
  • Mikopo ya Elimu ya Juu kupitia Bodi ya Mikopo (HESLB) June 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 July 02, 2025
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • WATUMISHI WAPYA WAPATA MAFUNZO ELEKEZI YA UTUMISHI WA UMMA KISARAWE

    September 26, 2025
  • MALARIA KISARAWE HAIKUBALIKI DC MAGOTI

    September 24, 2025
  • KIKAO CHA WARSHA YA KUZUIA UKATILI DHIDI YA WATOTO WALIOKATISHA MASOMO WILAYA YA KISARAWE MWAKA 2025

    August 29, 2025
  • WAZIRI DKT JAFO AFUNGA MTAA AKICHUKUA FOMU YA INEC JIMBO LA KISARAWE AMUOMBEA KURA DKT SAMIA MADIWANI 17 KISARAWE

    August 24, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa