• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

Fedha na Biashara

Idara ya fedha ni idara inayojishughulisha na usimamizi wa ukusanyaji wa mapato na matumizi ya fedha katika halmashauri na kutoa ushauri wa namna bora ya matumizi ya fedha.
Katika kusimamia huko inahakikisha kunakuwa na mfumo thabiti wa udhibiti wa ndani(lnternal control system)Ambao pamoja na kuzingatia masuala ya kiutendaji pia unalenga katika kuangazia taratibu nzima za kifedha za halmashauri,Lakini pia ina kazi ya kuwasilisha taratibu za kifedha kwenye kamati ya fedha kwa ajili ya mapitio,pia kuhakikisha kunakuwa na udhibiti wa kutosha wa mali za halmashauri pamoja ne fedha, hii ikiwa ni kuwa na mpango kazi mzuri wa wafanyakazi na utawala ndani ya idara ya fedha,Nakuishauri halmashauri katika masuala yote yanayohusuyo mambo ya fedha.
Idara ya fedha ina jumla ya vitengo 4, Ambavyo ni: Kitengo cha mishahara, kitengo cha mapato, kitengo cha matumizi, na kitengo cha taarifa za mwisho za mahesabu ya halmashauri (Final account), Kazi za vitengo hivyo ni kama ifuatavyo;

I: MATUMIZI

(i)Kuandaa malipo yote

(ii)Kuandaa Bajeti ya matumizi ya kawaida,

(iii)Kuhakikisha uwepo wa nyaraka zote za malipo kabla na baada ya kulipa, (iv)Kuhakikisha taratibu na sheria za kifedha zinatekelezwa,

(v)kuhakikisha kuwepo na majalada ya kumbukumbu kwa malipo yaliyolipwa,

(vi)Kufanya usaili wa kimahesabu kati ya benki na vitabu vya kumbukumbu vya halmashauri.

(vi)Kuandaa taarifa za fedha na kuziwasilisha sehemu husika kwa wakati.

2: MAPATO

(i)Kuhakikisha inakusanya mapato yote ya halmashauri,

(ii)Kuhakikisha kuna udhibiti mzuri wa mapato ya Halmashauri,

(iii)Kupeleka fedha taslimu na hundi benki

(iv)Kuandaa ripoti mbalimbali na kuziwasilisha sehemu husika, (v)Kuweka utaratibu rahisi wa malipo ya fedha taslimu kwa wateja,

(vi)Kubuni vyanzo vipya vya mapato,

3: MlSHAHARA

(l)Kuandaa orodha ya watumishi kwa ajili ya kulipwa mishahara

(ii)Kutunza orodha ya watumishi wanaolipwa mishahara na kutunza kumbukumbu za makato yakatwayo watumishi kwenye mishahara yao

(iii)Kuandaa bajeti ya mishahara kwa watumishi

(iv)Kuandaa taarifa mbalimbali za mishahara na kupeleka sehemu husika

(v)Kushughulikia matatizo yote ya mishahara inayotokea kwa watumishi

4: KITENGO CHA TAARIFA ZA KIMAHESABU (Final account)

(i)Kuandaa usuluhisho wa taarifa za cashbook zinatunzwa halimashauri na zile zilizopo benki

(ii) Kujibu hoja za ukaguzi

(iii)Kuanda taarifa za mapato na matumizi

(iv)Kutunza cashbook.

Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA-AWAMU YA PILI TAREHE 16-22 MEI 2025 May 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • KUITWA KWENYE SEMINA YA ANUANI ZA MAKAZI March 30, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • JIMBO LA KISARAWE LATOA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGAKURA AWAMU YA PILI

    May 14, 2025
  • JIMBO LA KISARAWE LATOA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGAKURA AWAMU YA PILI

    May 14, 2025
  • JIMBO LA KISARAWE LATOA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGAKURA AWAMU YA PILI

    May 14, 2025
  • JIMBO LA KISARAWE LATOA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGAKURA AWAMU YA PILI

    May 14, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa