• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

Mipango na Takwimu

Idara ya Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji ni moja kati ya idara 13 na Vitengo 6 vinavyounda Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Idara hii ina jumla ya watumishi 4.

Idara hii ni kiungo muhimu kwa ustawi wa Halmashauri na inatekeleza majukumu yafuatayo;

  • Kuanzisha, kuhimiza, kushauri na kuratibu mchakato wa uandaaji wa mipango na bajeti ya kila mwaka ya Halmashauri ya Wilaya kuanzia ngazi ya Vijiji, Kata na Wilaya na kuhakikisha upangaji wa mpango wa Halmashauri unaanzia ngazi ya chini kwenda juu (“bottom up approach”)

  • Kuwezesha vijiji vya Halmashauri ya Wilaya kutekeleza mipango au miradi ya maendeleo katika maeneo yao kupitia fedha ya ruzuku ya serikali ya kila mwaka.

  • Kumshauri Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri juu ya vipaumbele vya Halmashauri ya wilaya kwa ajili ya utekelezaji wa kila mwaka kulingana na kanuni na miongozo inayotolewa kila mara na serikali.

  • Kushirikiana na Wakuu wa Idara katika kuona kuwa Halmashauri ya Wilaya inayatimiza majukumu yake ya kutoa huduma za kijamii na kiuchumi kwa wananchi.

  • Kuratibu uandaaji wa taarifa mbalimbali za maendeleo na kuziwasilisha kwa viongozi wa mkoa na Taifa wanaotembelea Halmashuri yetu.

  • Kuratibu ukusanyaji wa takwimu, shughuli za utafiti na kutunza kumbukumbu hizo kwa matumizi ya Halmashauri ya Wilaya.

  • Kufanya ufuatiliaji na tathmini (M & E) ya hali ya utekelezaji wa miradi na shughuli mbalimbali zinazotekelezwa na Halmashauri kila robo mwaka, kuandaa taarifa na kushauri kulingana na hali ilivyo;

  • Kushauriana na asasi zisizo za kiserikali juu ya aina ya shughuli zinazotekelezwa na maeneo ya utekelezaji ili kuhakikisha matumizi mazuri ya rasilimali zilizopo.

  • Kuratibu zoezi la uandaaji wa mpango mkakati wa Halmashauri ya Wilaya wa miaka mitano (5) na kufuatilia utekelezaji wake kwa kipindi husika.

  • Kuratibu na kushauri utekelezaji wa miradi mbalimbali inayofadhiliwa na wahisani.

Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • Tangazo kwa Umma Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura February 08, 2025
  • MKITANO WA BARAZA LA MADIWANI April 28, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NIMEFURAHISHWA NA MMLIVYOJIPANGA KISARAWE CHATANDA NA ZAINABU

    May 08, 2025
  • OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS SERIKALI MAPINDUZI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYA KISARAWE

    April 30, 2025
  • KISARAWE YAFANYA UTOAJI ELIMU YA DOZI YA NYONGEZA YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO(IPV2)

    April 30, 2025
  • KUVUNJWA KWA BARAZA LA MADIWANI KISARAWE UONGOZI WAJIVUNIA KUKAMILISHA MIRADI MBALIMBALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 5

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa