• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

DC NYANGASA,DED DOMINIC, WAZUNGUMZA NA WAFANYA BIASHARA,WADAU MBALIMBALI WATOA WITO MILANGO IPO WAZI

Posted on: February 8th, 2024

*DC NYANGASA,DED DOMINIC, WAZUNGUMZA NA WAFANYA BIASHARA,WADAU MBALIMBALI WATOA WITO MILANGO IPO WAZI*


KISARAWE PWANI.


Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe MHE FATMA NYANGASA  amewataka wafanya biashara mbalimbali kuuza bidhaa zao kisarawe ili kuwawezesha wananchi kumudu gharama za bidhaa hizo ndani ya Kisarawe,


*"Bidhaa zenu zifanyeni kwa uzuri  uzeni hata kama ni kwa faida ndogo Hapa Hapa kisarawe kwanza ili jamii nayo inufaike na uwepo wenu kisarawe wapeni wananchi faida ya kuwa Hapa kwa viwanda vyenu kama vya Chaki,saruji,wine nk"* alisisitiza MHE FATMA NYANGASA


Aidha kikao hicho Cha wafanyabiashara na Mkuu wa wilaya kisarawe, Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri Wilaya Kisarawe na Katibu Tawala Wilaya Kisarawe na Kamati ya ulinzi usalama ya Wilaya na Maafisa biashara wa Halmashauri kupitia kikao maalumu kilichoitishwa na mkuu wa Wilaya ya  Kisarawe MHE FATMA NYANGASA    ikiwa lengo ni kuwaweka karibu wafanyabiashara hao na Serikali ya Kisarawe,

Wakitoa michango yao baadhi ya Wafanya biashara walisema, Ndg ANTHONY KAYILA Kutoka  Solar  Nitro chemicals ltd BARUTI amempongeza MHE FATMA NYANGASA Pamoja na Mkurugenzi kwa Kuwasikiliza Kwa Karibu hoja zao kama Wafanya biashara wa kisarawe,


Aidha  Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Kisarawe Ndg BEATRICE DOMINIC alisema, ni wajibu wa wafanyaniashara kuzingatia Kulipa kodi na si vinginevyo kwa faida ya Maendeleo ya Kisarawe.


Matukio mbalimbali ya picha wakati wa kikao baina ya Mkuu wa wilaya kisarawe MHE FATMA NYANGASA Pamoja na Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya Kisarawe Katibu Tawala Wilaya Kisarawe Wataalamu mbalimbali Wafanyabiashara Katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri Wilaya Kisarawe leo 08/02/2024.

Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • Tangazo kwa Umma Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura February 08, 2025
  • MKITANO WA BARAZA LA MADIWANI April 28, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NIMEFURAHISHWA NA MMLIVYOJIPANGA KISARAWE CHATANDA NA ZAINABU

    May 08, 2025
  • OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS SERIKALI MAPINDUZI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYA KISARAWE

    April 30, 2025
  • KISARAWE YAFANYA UTOAJI ELIMU YA DOZI YA NYONGEZA YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO(IPV2)

    April 30, 2025
  • KUVUNJWA KWA BARAZA LA MADIWANI KISARAWE UONGOZI WAJIVUNIA KUKAMILISHA MIRADI MBALIMBALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 5

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa