• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

Feed The Children Yawawezesha Wanafunzi kupata Lishe Bora Wilaya Ya Kisarawe.

Posted on: July 20th, 2018

Shirika lisilo la serikali la FEED THE CHILDREN limeendelea kuwawezesha wananchi na wanafunzi wa Wilaya ya kisarawe katika kutoa huduma mbalimbali za kijamii ambapo kwa sasa wamefanikiwa kuwawezesha wanafunzi wa shule za msingi wanaosoma katika wilaya ya kisarawe kwa kuwapatia ng’ombe wa maziwa.

Kwa sasa Feed the Children wamegawa ng’ombe wa maziwa kwa wanafunzi wa shule nne za msingi ili waweze kuendelea na zoezi la kutoa  lishe bora kwa wanafunzi ili waweze kuongeza usikivu na maarifa wakati wa masomo.Shule nyingine zilizopatiwa ng,ombe hao ni pamoja na boga

Wakati wa kukabidhi msaada huo kwenye shule ya msingi ya Kazimzumbwi iliyopo kata ya kazimzumbwi, Mkurugenzi Mtendaji wa Feed the Children Dr.Wilbard Loiri amesema lengo kuu la utoaji wa ng’ombe hawa wa maziwa kwa shule ni kuwezesha kuongeza uwezo wa utoaji lishe bora  kupitia ili kwamba fedha zinazopatikana kwenye mauzo kupitia ng’ombe hawa zisaidie watoto kupata lishe bora ama maziwa yatakayopatikana wawalishe watoto ili wawe na usikivu mzuri darasani.

Aidha Mwenyekiti wa bodi ya Feed the Children  Dr.Eng.Juliana Pallangyo  ameshukuru shule kupokea msaada huu wa ng’ombe na anaamini wakinamama waliohudhuria kwenye hafla hiyo wanajua thamani ya mtoto ni nini.

‘’ukiwekeza kwa mwanamke umewekeza kwenye Taifa ,naamini ng’ombe watatoa maziwa ya kutosha na wanafunzi wayatumie kwa ajili ya kuboresha lishe yao’’ amesema Dr.Eng Juliana

Awali wakati akipokea msaada huo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri wa Wilaya ya kisarawe Ndugu Mussa L. Gama ameshukuru shirika la FEED the children kwa msaada huo na pia kuwa wadau wa maendeleo katika Nyanja nyingi wanazotoa Kisarawe na amewahakikishia kuwa Mifugo iliyopoklewa  wataitunza ili iweze kuwanufaisha wanafunzi na kuleta ufanisi kwenye maendeleo yao kitaaluma.

Mradi wa mifugo uliotolewa umepokelewa kwa furaha na wananchi wa kada zote wakiwemo wanafunzi, wazazi wa wanafunzi na walimu na wamehaidi kuuendeleza ili ulete matokeo chanya na kuwezesha wanafunzi wapate lishe bora

Shirika la Feed the Children limekuwa likifanya shughuli zake Wilaya ya kisarawe kwa kuhudumia wanafunzi na jamii nzima katika miradi mbalimbali ikiwamo utoaji wa chakula kwa wanafunzi,kugawa mizinga ya nyuki na shughuli nyinginezo

Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • Tangazo kwa Umma Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura February 08, 2025
  • MKITANO WA BARAZA LA MADIWANI April 28, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NIMEFURAHISHWA NA MMLIVYOJIPANGA KISARAWE CHATANDA NA ZAINABU

    May 08, 2025
  • OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS SERIKALI MAPINDUZI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYA KISARAWE

    April 30, 2025
  • KISARAWE YAFANYA UTOAJI ELIMU YA DOZI YA NYONGEZA YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO(IPV2)

    April 30, 2025
  • KUVUNJWA KWA BARAZA LA MADIWANI KISARAWE UONGOZI WAJIVUNIA KUKAMILISHA MIRADI MBALIMBALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 5

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa