• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

HALMASHAURI YA WILAYA YA KISARAWE YAFANYA KIKAO KAZI CHA WADAU WA MAENDELEO.

Posted on: December 15th, 2020

HALMASHAURI YA WILAYA YA KISARAWE YAFANYA KIKAO KAZI CHA WADAU WA MAENDELEO.

Leo Jumanne 15/12/2020, Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe imefanya kikao kazi kilichoshirikisha wadau mbalimbali wa maendeleo, kwa ajili ya kujadili vipaumbele vya Mpango na Bajeti ya Halmashauri mwaka wa fedha 2021/2022 pamoja na michango ya wadau katika kuchangia vipaumbele vya Mpango na Bajeti hiyo, kikao hicho kimefanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri uliopo Mtaa wa Bomani, Kata ya Kisarawe, Mkoani Pwani.

Kikao hicho kilifunguliwa na Mgeni rasmi  Mhe. Jokate Mwegelo kwa kuwakaribisha wajumbe katika kikao kazi.Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe, Ndg. Mussa Gama, ambaye alikuwa Mwenyekiti wa kikao hicho aliwataka wajumbe washiriki bila hofu katika kikao hicho ili kuleta maendeleo kwa wananchi wa Kisarawe na Taifa kwa ujumla.

Mhe. Jokate alianza kwa kuwakaribisha wadau wote waliohudhuria kikaoni, na kutoa nasaha zake zikiwemo kusisitiza usimamizi wa masuala ya unyanyasaji wa kijinsia kwa wanawake na watoto.
Pia, alitilia mkazo suala la utendaji kazi wa mashirika binafsi, na taasisi zote zisizo za kiserikali kutoa taarifa mapema ili waweze kupata ushirikiano mzuri katika utendaji kazi wao.

Aidha, Ndg. Mwanana Msumi, Katibu Tawala wa Wilaya ya Kisarawe alizitaka asasi na taasisi zinazoshirikiana na Halmashauri kutoa ushirikiano, na mawasiliano ambayo ni nyenzo nzuri katika utekelezaji wa mambo mbalimbali yanayopelekea ustawi wa Halmashauri na Taifa kwa ujumla.

Naye, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe, Ndg. Zuberi Kizwezwe alizishukuru taasisi na asasi zote kwa kutoa ushauri na mapendekezo, pia alitoa rai kwa taasisi na asasi hizo kuendelea kusaidia jamii, na kuvumilia changamoto zote kwa kushirikiana na Halmashauri.

Sambamba na hilo, Dokta. Casian, ambaye ni Afisa Mifugo na Uvuvi wa Wilaya ya Kisarawe, alitoa angalizo kwa wadau waliohudhuria kikaoni hapo kutoa elimu kwa jamii kuhusu kuwalinda watoto dhidi ya ugonjwa wa kichaa cha mbwa ambao hauna tiba, na chanjo yake ni aghali sana ambapo hupelekea madhara makubwa kutoa katika jamii ikiwemo watu kupoteza maisha.

Vilevile, Bi. Jesca Petro, mdau kutoka taasisi isiyo ya kiserikali ya Plan International-Kisarawe aliahidi kuwa taasisi hiyo itaendelea kutoa huduma kwa jamii zikiwemo ujenzi wa vyoo, madarasa na visima, pamoja na mafunzo ya ulinzi na haki za watoto katika Kata mbalimbali zilizomo wilayani humo.

Imetolewa Na:
KITENGO CHA TEHAMA NA UHUSIANO
HALMASHAURI YA WILAYA YA KISARAWE

Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • Tangazo kwa Umma Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura February 08, 2025
  • MKITANO WA BARAZA LA MADIWANI April 28, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NIMEFURAHISHWA NA MMLIVYOJIPANGA KISARAWE CHATANDA NA ZAINABU

    May 08, 2025
  • OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS SERIKALI MAPINDUZI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYA KISARAWE

    April 30, 2025
  • KISARAWE YAFANYA UTOAJI ELIMU YA DOZI YA NYONGEZA YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO(IPV2)

    April 30, 2025
  • KUVUNJWA KWA BARAZA LA MADIWANI KISARAWE UONGOZI WAJIVUNIA KUKAMILISHA MIRADI MBALIMBALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 5

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa