• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

KIKAO CHA KUCHAGUA WANAFUNZI WA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021.

Posted on: December 18th, 2020

KIKAO CHA KUCHAGUA WANAFUNZI WA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021.

18-12-2020

kibaha

PWANI.

Leo tarehe 18/12/2020 Mkuu wa Mkoa wa Pwani Eng. Ndikiro amefungua kikao cha kuchagua wanafunzi watakaojiunga na kidatoo cha kwanza 2021.Eng Ndikiro wakati wa ufunguzi aliwapongeza watendaji wote waliopewa jukumu la kusimamia mitiani kwa kusimamia Vizuri bila dosali zozote bila kuwasahau wazazi wa wanafunzi.

Mhandisi Ndikiro aliwapongeza watendaji wote wa Elimu kwa kufanya vizuri katika kusimamia Elimu hadi kuongeza ufauli kufika asilimia 86.99 iliyopelekea Mkoa kushika nafasi ya 8 Kitaifa.Aidha Ndikiro aliwataka watendaji kuongeza juhudi katika kufundisha,kuweka mazingira mazuri kwa walimu ili kuongeza ufaulu kwa mwaka 2021.

Mkuu wa Mkoa aliwakaribisha Wenyeviti wa Halmashauri zote za Pwani na kuwataka wakasimamie Elimu wala wasiende kubadilisha miongozo bali kuongeza Ubunifu utakaowezesha Halmashauri Kuongeza Ufaulu.

Ndikiro alisema wakati wa sherehe za Mkoa na wadau wa Elimu ni vyema kuwaita na kuwapongeza wote waliofanya vizuri pamoja na kuwatengenezea Vyeti shule zote zilizofanya vizuri.

Pamoja na Pongezi  Mhandisi Ndikiro alitoa maagizo yafuatayo :

  • Wakuu wa wilaya,Wakurugenzi,Wenyeviti wa Halmashauri na Watendaji wa Elimu kuhakikisha wanafuatilia na kupata sababu kwanini matokeo sio Mazuri.
  • Wathibiti Ubora wa Elimu kuendelea kukagua shule na kusimamia walimu kufanya kazi kwa Weledi na Miongozo.
  • Maafisa Elimu Kata na Watendaji wa vijiji kusimamia na kutembelea shule zilizopo kwenye maeneo yao.
  • Kuhakikisha Ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa wanafunzi 780 waliokosa uwe umekamilika kabla ya mwezi februari 2021 ili wanafunzi hao waanze masomo.
  • Kusimamia Matumizi  ya Fedha.

Mkuu wa mkoa alitoa wito kwa wadau wa Elimu katika;

  • Kuchangia Elimu
  • Kujenga Hosteli kwa ili wanafunzi wasitembee umbali mrefu kwenda shule.

Wajumbe wa Kikao hicho walitoka kwenye Halmashauri Tisa za Mkoa wa Pwani.

Kutoka kisaraweWajumbe walioshiriki kikao hicho ni

  • Mkuu Wa Wilaya Mh. Joketi Mwegelo
  • Katibu Tawala Mhe. Mwanana Msumi
  • Mwenyeki wa Halmashauri Mhe. Zuberi Kizwezwe
  • Mkurugenzi wa Halmashauri   Ndugu Mussa Gama
  • Mwenyekiti wa kamati ya Huduma ya Jamii Mhe. Abel Mudo.
  • Afisa Elimu Sekondari Ndugu Patrick Gwivaha.
  • Afisa Elimu Taaluma Ndugu Paskazia Kagisi
  • Afisa Elimu Taaluma Ndugu S. Idd
  • Afisa Elimu Taaluma Ndugu John Malibiche
  • Afisa TEHAMA Ndugu Nsanganiye Bilinzozi
  • Walimu wakuu kutoka shule ya Makuruge,Jokate na Msimbu

Kikao hiki kimefanyika katika ukumbi wa Mkuu wa Mkoa wa Pwani.

Imetolewa na

Kitengo Cha TEHMA NA UHUSIANO

HALMASHAURI YA WILAYA YA KISARAWE

Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • Tangazo kwa Umma Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura February 08, 2025
  • MKITANO WA BARAZA LA MADIWANI April 28, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NIMEFURAHISHWA NA MMLIVYOJIPANGA KISARAWE CHATANDA NA ZAINABU

    May 08, 2025
  • OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS SERIKALI MAPINDUZI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYA KISARAWE

    April 30, 2025
  • KISARAWE YAFANYA UTOAJI ELIMU YA DOZI YA NYONGEZA YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO(IPV2)

    April 30, 2025
  • KUVUNJWA KWA BARAZA LA MADIWANI KISARAWE UONGOZI WAJIVUNIA KUKAMILISHA MIRADI MBALIMBALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 5

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa