• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

SHIRIKIANENI NA MAAFISA HABARI KATIKA MAJUKUMU YENU TASAF

Posted on: August 19th, 2022

SHIRIKIANENI NA MAAFISA HABARI KATIKA MAJUKUMU YENU TASAF

NA

Wazir Wazir

Kisarawe-Pwani

wazirwazir6@gmail.com


Kaimu Mkurugenzi Halmshauri wilaya kisarawe Mkoa Pwani Ndugu Baptista Kihanza amewaagiza Maafisa waliotengwa kwa ajili ya Utekelezaji wa kusimamia Tasaf kisarawe kushirikiana Kitengo Cha Habari na Mawasiliano Serikalini ili kupata Ufanisi wa kuwahudimia Wananchi


Aliyasema hayo Mara baada ya kuzungumza na uwongozi wa Tasaf Mkoa wa Pwani waliofika kisarawe kwa lengo la kufuatilia Utekelezaji wa uibuaji wa unaogemewa kuanza muda mchache kutoka leo Katika Baadhi ya vijiji Sabin na Saba ambayo vipo Katika majaribio kwa kuibua miradi ya kipaumbele ambayo Tasaf kisarawe inategemea kuweka Nguvu za ufanikishaji Katika Elimu, Maji, na Huduma za Jamii,

Mbele Yetu tuna zoenzi kubwa la kuwahudimia Wananchi kisarawe kupitia TASAF hivyo ninaomba mshirikiane na Maafisa HABARI kuhakikisha Mambo ya Serikali yanatangazwa kwa Wananchi kwa ufasaha Tena kwa njia ya Picha, Habari,Video Kama inavyotakiwa kwa mujibu wa miongozo ya TASAF,

Naye afisa habari wilay kisarawe Ndugu Wazir Wazir Alimhakikishiia Mkurugenzi mtendaji ushirikiano wa kutosha kufanikisha Zoezi hilo Katika wilaya kisarawe,

Binafsi nakuhakikishia sisi Kitengo Cha Habari na Mawasiliano Serikalini kisarawe tutatoa ushirikiano wa kutosha kufanikisha Zoezi hili hapa kisarawe alimalizia Wazir

Hata hivyo msimamizi wa Tasaf kisarawe Ndugu Jalia Chanyika alisema wanatarajia kuanza Zoezi hilo la uibuaji wa miradi ya kipaumbele Katika vijiji Sabin na Saba vya wilaya kisarawe kwa kushirikiana na watalaam na wanaimani Zoezi litafanikiwa kwa Pamoja,

Tunajua na tunatarajia kuanza Zoezi letu la TASAF kisarawe Nina imani viongozi wetu wa ngazi ya Vijijni watatupa ushirikiano Mkubwa pamoja na Wananchi kufikisha Ukaribu wa Huduma za TASAF kwao hivyo naomba Wananchi,watendaji na wajumbe watupe ushirikiano kufanikisha Zoezi hili kwao alimalizia Chanyika.

Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • Tangazo kwa Umma Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura February 08, 2025
  • MKITANO WA BARAZA LA MADIWANI April 28, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NIMEFURAHISHWA NA MMLIVYOJIPANGA KISARAWE CHATANDA NA ZAINABU

    May 08, 2025
  • OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS SERIKALI MAPINDUZI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYA KISARAWE

    April 30, 2025
  • KISARAWE YAFANYA UTOAJI ELIMU YA DOZI YA NYONGEZA YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO(IPV2)

    April 30, 2025
  • KUVUNJWA KWA BARAZA LA MADIWANI KISARAWE UONGOZI WAJIVUNIA KUKAMILISHA MIRADI MBALIMBALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 5

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa