• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

Tanzania ya Viwanda Inawezekana,Panda Miti Kwa Maendeleo Ya Viwanda

Posted on: April 7th, 2018

Kwa kuzingatia kauli mbiu ya mwaka huu ya Tanzania ya Viwanda Inawezekana Panda Miti Kwa Meandeleo Ya Viwanda Wilaya ya Kisarawe imejipanga kuchukua hatua mbalimbali za upandaji, utunzaji na ulindaji wa misitu kwa ajili ya faida ya ujumla kwa nchi.

Taarifa hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe Ndugu Mussa  L  Gama wakati wa maadhimisho a siku ya Upandaji miti iliyofanyika kwenye msitu wa Kazimzumbwi kata ya msimbu  Wilaya ya Kisarawe.

Akisoma taarifa hiyo mbele ya mgeni rasmi ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani Eng. Evarist Ndikilo mkurugenzi Mtendaji amesema sehemu kubwa ya rasilimali misitu imeharibiwa kutokana na uvamizi wa misitu kwa shughuli mbalimbali za kibinadamu kama kilimo,uchomaji mkaa,na upasuaji mbao na ili kuirejesha misitu katika hali nzuri Halmashauri inatia juhudi kuhakikisha misitu iliyopo inasimamiwa vizuri.

Mikakati ilyowekwa na Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe ni kuipa shughuli ya upandaji miti kipaumbele na kuendelea kutoe elimu ya kutunza misitu ya asili na kuzingatia uvunaji endelevu wa mazao ya misitu.

‘’kwa kuzingatia kauli mbiu ya mwaka huu Wilaya imeanzisha vitalu vikubwa vitatu katika kata ya Kisarawe,Mzenga na Kurui ambapo jumla ya miche 150,000 imezalishwa na imeshaanza kusambazwa na kupandwa maeneo mbalimbali kwa kushirikiana na wadau wengine ambao ni Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS),Asasi za dini na WWF ambao ni  Mfuko wa dunia wa Kuhifadhi Viumbe Pori’’ Amesema Ndugu mussa Gama.

Aidha katika kukabiliana na changamoto mbalimbali hususani uvamizi,uvunaji holela na uchomaji wa mapori na misitu ya Hifadhi Halmashauri ya Wilaya kwa kushirikiana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Kisarawe imechukua hatua mbalimbali za kukabiliana nazo ikiwamo kufanya doria maeneo mbalimbali,kuimarisha zoezi  la upandaji miti kwa kushirikiana na kamati za mazingira za vijiji,kukamata wavamizi na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria na kutoa elimu ya moto na athari zake kwa misitu kwa vijiji vinavyozunguka misitu ya Hifadhi.

Wilaya ya Kisarawe ina misitu ya aina tatu ambayo ni ile inayosimamiwa na Serikali kuu ambayo ni Pugu,Kazimzumbwi,Ruvu kusini na Masanganya.Pia ipo misitu inayosimamiwa na Serikali za vijiji ambayo ni Nyani,Kidugalo,Msanga Sokoni, Kisangire,Mafumbi,Sofu na Maharage Gwata.Aidha misitu ya asili shughuli za uvunaji wa mazao ya misitu hufanyika ni pamoja na Gwata -kidunda,Gwata –Mzenga,Kihare-Marui na vikumburu yenye jumla ya ukubwa wa Hekta 194,111.                                                                                                                          By dkambanyuma

Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA-AWAMU YA PILI TAREHE 16-22 MEI 2025 May 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • KUITWA KWENYE SEMINA YA ANUANI ZA MAKAZI March 30, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • JIMBO LA KISARAWE LATOA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGAKURA AWAMU YA PILI

    May 14, 2025
  • JIMBO LA KISARAWE LATOA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGAKURA AWAMU YA PILI

    May 14, 2025
  • JIMBO LA KISARAWE LATOA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGAKURA AWAMU YA PILI

    May 14, 2025
  • JIMBO LA KISARAWE LATOA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGAKURA AWAMU YA PILI

    May 14, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa