• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

Tanzania Yazindua Jitihada Za Kuhifadhi Na Kuendeleza Hifadhi Za Misitu

Posted on: August 13th, 2018

Tanzania Yazindua  Jitihada Za Kuhifadhi Na Kuendeleza Hifadhi Za Misitu

Nchi ya Tanzania imeunganana na nchi nyinginezo barani Afrika katika jitihada za kuhifadhi na kuendeleza  misitu iliyopo hapa nchini.

Uzinduzi wa jitihada hizo ulifanyika katika Msitu wa Kazimzumbwi uliopo katika kijiji cha Maguruwe kata ya Msimbu Wilaya ya Kisarawe ambapo Mgeni rasmi katika tukio hilo alikuwa ni Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mheshimiwa Japhet   Hasunga.

Akizindua jitihada  za kuhifadhi na kuendeleza misitu hapa nchini  Mtendaji Mkuu wa wakala wa Huduma za Misitu  Tanzania Profesa Dos  Santos Silayo amesema wameamua kuungana na chi nyinginezo barani Afrika katika kuhifadhi na kuendeleza misitu kwani kwa sasa uharibifu wa mazingira na misitu umekuwa ni mkubwa sana na inahatarisha uhai wetu.

‘’Kwa sasa hali imekuwa mbaya katika uharibifu wa misitu hivyo tumeamua kuungana  na nchi nyingine ili tuweze kutunza ,kuendeleza  na kuhifadhi misitu yetu ili tuweze kunufaika na uwepo wake. Kwa sasa kwa mujibu wa takwimu za hivi kiasi cha tarubani heta laki nne na sabini elfu zinaharibiwa kwa matumizi mbalmbali hapa nchini” amesema Profesa Silayo.

Wakati akihutubia umati wa wananchi na viongozi waliohuduria hafla ya uzinduzi Naibu waziri wa Maliasili na Utalii Mheshimiwa Hasunga amesema  tunapaswa kulinda misitu yetu kwa kutofanya shughuli endelevu kwenye misitu yetu kama vile kulima kwenye vyanzo vya maji,miteremko,milima uharibifu wa misitu na ukataji wa miti ambavyo vinachangia kupungua kwa uoto,mmomonyoko,uchafuzi wa maji,kupungua kwa rutuba na kupotea kwa Baioanuawi.

Aidha Mheshimiwa Hasunga kwa kutambua misitu misitu yetu Serikali imekuwa ikichukua hatua mbalimbali ikiwa ni pamoja na kusimamia sheria zote zinzohusiana na uhifadhi na mazingira na ushirikishwaji wa jamii.Aidha wadau wa maendeleo wamekuwa ni chachu katika kusaidia jitihada za serikali yetu.

Aidha Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mheshimiwa Jokate Mwegelo amesema Wilaya ya Kisarawe imejipanga kupambana kupambana na changamoto zote kwa kutumia umoja wetu baina ya Serikali na Sekta binafsi kwa kutoa elimu kwa umma,kuhimiza upandaji miti,kusisitiza  mabadiliko ya teknolojia ili kunusuru misitu,kuhamasiha Utalii,ikolojia katika misitu na kuendelea kutekeleza sheria ya usimamizi wa Misitu na Mazingira.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 July 02, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA МКАТАBA KWA WAKUSANYA MAPATO July 08, 2025
  • MATUKIO MUHIMU YA UKAGUZI WA MBIO ZA MAGARI KITUO CHA KISARAWE KAZIMZUMBWI June 28, 2025
  • Mikopo ya Elimu ya Juu kupitia Bodi ya Mikopo (HESLB) June 17, 2025
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • MAFUNZO YA MFUMO ANUANI ZA MAKAZI KWA WATENDAJI WA VIJIJI NA KATA

    July 07, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA E-UTENDAJI KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA KISARAWE

    July 07, 2025
  • MATUKIO MUHIMU YA UKAGUZI WA MBIO ZA MAGARI KITUO CHA KISARAWE KAZIMZUMBWI

    June 28, 2025
  • MATUKIO MUHIMU YA UKAGUZI WA MBIO ZA MAGARI KITUO CHA KISARAWE KAZIMZUMBWI

    June 28, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa