• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

VIONGOZI MBALIMBALI WAWAPA POLE NA KUWAOMBEA DUA WAHANGA WA AJALI KISARAWE

Posted on: December 18th, 2023

*VIONGOZI MBALIMBALI WAWAPA POLE NA KUWAOMBEA DUA WAHANGA WA AJALI YA KISARAWE*


KISARAWE PWANI.


Ajali ya Gari katika Wilaya Kisarawe Mkoa wa Pwani imeua watu wawili Mtoto mmoja na mama  wamefariki na wengine takribani 50 kujeruhiwa katika ajali ya Gari (Basi) aina ya Tata lililokuwa linatoka Kigogo Fresh Pugu Dar es salaam kuelekea Mloka Wilayani Rufiji Mkoani Pwani kupitia Kisarawe, baada ya gari hilo kupinduka katika Eneo la Daru  Kisarawe 19/12/2023,


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani  ACP PIUS LUTUMO amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na amefika Hospitali ya Wilaya ya Kisarawe usiku wa kuamkia leo kuwapa pole na kuwajulia hali majeruhi hao katika hospital ya Wilaya Kisarawe akiwa na Viongozi mbalimbali wa Mkoa Pwani,

Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya kisarawe DKT ABDALLAH  RISASI amesema baadhi ya majeruhi waliopata majeraha madogo wameshawaruhusu Kurudi nyumbani na wengine wanaendelea kuwapatia huduma na majeruhi Saba wamewapatia rufaa ya kwenda Hospitali ya Rufaa Muhimbili kwa matibabu ya kitaalamu Zaidi,


Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, MHE FATMA NYANGASA kwa upande wake  ameishukuru Serikali ya awamu ya sita  kwa kuwezesha ujenzi wa vituo vya dharura na kusema usiku wa kuamkia leo kimeweza kuokoa maisha ya Watu wengi na amesema chanzo cha ajali hiyo bado hakijajulikana mpaka itakapotolewa taarifa ya kitaalamu kutoka katika Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani.


Nae Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira MHE DKT SELEMANI SAIDI amewaombea kwa mwenyezi Mungu Majeruhi wote kupona na kuendelea na Shughuli za ujenzi wa TAIFA huku akipongeza Serikali ya awamu ya sita kwa Kuboresha huduma za Afya Kisarawe ambazo zimesaidia watu mbalimbali Kupunguza Gharama za matibabu,


*"Kwa Sasa Kisarawe tumeboresha huduma za Afya shukrani Sana kwa Rais DKT SAMIA SULUHU HASSAN Katika hili* alisisitiza MHE DKT JAFO,

Mpaka Sasa Majeruhi sita wapo hospital ya Wilaya Kisarawe wakiendelea kupata matibabu na waliofariki ni wawili.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 July 02, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA МКАТАBA KWA WAKUSANYA MAPATO July 08, 2025
  • MATUKIO MUHIMU YA UKAGUZI WA MBIO ZA MAGARI KITUO CHA KISARAWE KAZIMZUMBWI June 28, 2025
  • Mikopo ya Elimu ya Juu kupitia Bodi ya Mikopo (HESLB) June 17, 2025
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC MAGOTI APOKEA HATI HATI ZA KIMILA KUTOKA TANAPA

    July 29, 2025
  • ARO KATA JIMBO LA KISARAWE WALA VIAPO

    August 04, 2025
  • MHE.MAGOTI ATEMBELEA BANDA LA KISARAWE NANENANE

    August 02, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO ANUANI ZA MAKAZI KWA WATENDAJI WA VIJIJI NA KATA

    July 07, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa