• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

WAZAZI WAHUDUMIENI WATOTO

Posted on: March 13th, 2018

WAZAZI WAHUDUMIENI WATOTO WAPATE ELIMU BORA

MKUU WA WILAYA YA KISARAWE MHESHIMIWA HAPPINESS  SENEDA AMEWAASA WAZAZI WA WILAYA YA KISARAWE KUCHANGIA KUBORESHA MAZINGIRA YA UPATIKANAJI WA ELIMU BORA KWA WATOTO WAO.

KAULI HIYO AMEITOA HIVI KARIBUNI WAKATI AKITOA MSAADA WA VIFAA VYA ELIMU ULIOTOLEWA NA SHIRIKA LA FEED THE CHILDREN  KWA WANAFUNZI WALIO KWENYE MAZINGIRA MAGUMU ZOZI LILILOFANYIKA KWENYE OFISI YA MKUU WA WILAYA YA KISARAWE.

AKIZUNGUMZA MBELE YA WANAFUNZI,WALIMU, MAAFISA WA ELIMU WA WILAYA NA BAADI YA VIONGOZI WA SHIRIKA WALIOHUDHURI ZOEZI  HILO MKUU WA WILAYA AMESEMA WAZAZI WANA WAJIBU WA KUWAPATIA MAHITAJI MUHIMU WATOTO WAO ILI WAWEZE KUPATA ELIMU INAYOSTAHILI

‘’WAZAZI INAWAPASA KUWATIMIZIA MAHITAJI WATOTO YA ELIMU ILI WAPATE ELIMU ILIYO BORA.KAMA MTOTO AKIWA NYUMBANI MZAZI ANAHAKIKISHA ANAKULA MILO MITATU KWA SIKU VIVYO HIVYO WANAPASWA KUFANYA WAKATI MTOTO WAKIWA SHULENI.WAHAKIKISHE MTOTO ANAPOKUWA SHULE AWE ANAPATA CHAKULA KAMA WANAVYOWAPATIA WAKIWA NYUMBANI” AMESEMA MHESHIMIWA HAPPINESS SENEDA.

AIDHA MHE.MKUU WA WILAYA  KISARAWE AMEWAAMBIA WALIMU KUWAELIMISHA MARA KWA MARA WAZAZI KUHUSU KUWASAIDIA WATOTO KWENYE MAHITAJI  MUHIMU YA KUJIFUNZIA NA AMETOA PONGEZI NYINGI KWA SHIRIKA LA FEED THE CHILDREN KWA MISAADA MBALIMBALI WANAYOTOA KATIKA  KUBORESHA SEKTA YA ELIMU  WILAYA YA KISARAWE NA KUWAOMBA WAENDELEE NA JUHUDI HIZO NA SERIKALI INATAMBUA NAKUTHAMINI MCCHANGO MKUBWA WANAOUTOA.

MSAADA ULIOTOLEWA KWA WANAFUNZI WANAOISHI KWENYE MAZINGIRA MAGUMU NI PAMOJA NA MABEGI YA SHULE,SARE ZA SHULE ,MADAFTARI NA VIATU AMBAPO ZAIDI YA WANAFUUNZI 250 WANANUFAIKA NAYO PAMOJA NA KUTOA UNGA WA LISHE KWA AJILI YA WANAFUNZI KUPATA CHAKULA WANAPOKUWA MASOMONI NYAKATI ZA MCHANA.

 

Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • Tangazo kwa Umma Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura February 08, 2025
  • MKITANO WA BARAZA LA MADIWANI April 28, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NIMEFURAHISHWA NA MMLIVYOJIPANGA KISARAWE CHATANDA NA ZAINABU

    May 08, 2025
  • OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS SERIKALI MAPINDUZI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYA KISARAWE

    April 30, 2025
  • KISARAWE YAFANYA UTOAJI ELIMU YA DOZI YA NYONGEZA YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO(IPV2)

    April 30, 2025
  • KUVUNJWA KWA BARAZA LA MADIWANI KISARAWE UONGOZI WAJIVUNIA KUKAMILISHA MIRADI MBALIMBALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 5

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa