• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

Zaidi ya Bilioni moja na Nusu kutumika kwa ajili ya Ujenzi Wa barabara Kisarawe

Posted on: June 14th, 2017

ZAIDI YA BILIONI MOJA NA NUSU KUTUMIKA  KWENYE BARABARA KISARAWE.

HALMASHAURI YA WILAYA YA KISARAWE IMESAINI MIKATABA NA  MAKAMPUNI  YA  UJENZI  WA BARABARA WENYE THAMANI YA SHILINGI 1,556,957,670 /=.

HAFLA YA UTIAJI SAINI IMEFANYIKA  JUMANNE TAREHE 13/06 KWENYE UKUMBI WA MIKUTANO WA HALMASHAURI YA WILAYA YA KISARAWE NA KUHUDHURIWA NA MWENYEKITI WA HALMASHAURI  MHESHIMIWA HAMISI DIKUPATILE,MKURUGUNZI MTENDAJI WA

HALMASHAURI NDUGU MUSSA L. GAMA ,WAMILIKI WA MAKAMPUNI NA BAADHI YA

WATENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA KISARAWE..

AKIZUNGUMZIA   MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KWA MUJIBU WA MIKATABA, MWENYEKITI WA

HALMASHAURI YA KISARAWE  MH .DIKUPATILE  AMESEMA  WANANCHI WA KISARAWE

WANASUBIRI KWA MATUMAINI  MAKUBWA KUONA MATOKEO YA MIRADI ILIYOTIWA SAINI

INATEKELEZWA  KULINGANA NA MAKUBALIANO NA  YOTE YALIYOKUWAMO  NDANI YA

MKATABA

‘’WANANCHI WANAHITAJI KITU KILICHO BORA NA KWA WAKATI,TUNAKWENDA KUITUMIKIA

JAMII YETU HASA IKIZINGATIWA  TUMESAINI MIKATABA ILIYO BORA NA YENYE MANUFAA KWA

WANANCHI NA ITAKAYOTEKELEZWA NA KAMPUNI ZA KIZALENDO .’’ AMESEMA MHESHIMIWA

HAMIS  DIKUPATILE AMBAYE PIA NI DIWANI WA KATA YA MANEROMANGO.

AIDHA  KATIKA KUSISITIZA JUU YA KUFANIKISHA MIRADI HIYO MWENYEKITI WA HALMASHAURI

AMEWAHAKIKISHIA  WAKANDARASI KUWA  HALMASHAURI IMETAYARISHA MAZINGIRA YOTE

YANAYOHITAJIKA KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI HII IKIWAMO UPATIKANAJI WA MAJI

MAENEO YA MIRADI

HALMASHAURI YA WILAYA YA KISARAWE IMESAINI  MIKATABA YENYE THAMANI YA  ZAIDI YA

SHILINGI  BILIONI MOJA NA NUSU KWA UJILI WA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA BARABARA YA

MZENGA-MAFIZI-NYANI HADI GWATA YENYE UREFU WA KILOMETA 35 UTAKAOTEKELEZWA

NA KAMPUNI YA KIZALENDO YA M/S SERICO CO. LTD WENYE THAMANI YA SHILINGI  

472,678,500/=

BARABARA NYINGINE ZITAKAZOTENGENEZWA KWA KIWANGO CHA LAMI  NI ZILE ZA KISARAWE  

MJINI ZA UREFU WA KILOMITA 1.9 ZINAZOGHARIMU KIASI CHA SHILINGI 693,881,300/=  

MRADI UNAOTEKELEZWA NA KAMPUNI YA KIZALENDO  YA M/S NELOYT (T) LTD. PIA KIASI CHA

SHILINGI   390,398,890/=.KITATUMIKA UJENZI WA DARAJA LA MTO  MIYOMBO KATIKA

BARABARA YA KIMALAMISALE –KIGOGO YENYE UREFU WA MITA 25 LITAKALOJENGWA NA

KAMPUNI YA M/S PLAN ENGINEERING AND  CONSTRUCTION LIMITED.


Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • Tangazo kwa Umma Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura February 08, 2025
  • MKITANO WA BARAZA LA MADIWANI April 28, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NIMEFURAHISHWA NA MMLIVYOJIPANGA KISARAWE CHATANDA NA ZAINABU

    May 08, 2025
  • OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS SERIKALI MAPINDUZI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYA KISARAWE

    April 30, 2025
  • KISARAWE YAFANYA UTOAJI ELIMU YA DOZI YA NYONGEZA YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO(IPV2)

    April 30, 2025
  • KUVUNJWA KWA BARAZA LA MADIWANI KISARAWE UONGOZI WAJIVUNIA KUKAMILISHA MIRADI MBALIMBALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 5

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa