• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

ZIARA YA KATIBU WA TAGCO YALETA MATUMAINI KWA MAAFISA HABARI NJAIDI

Posted on: October 8th, 2022

ZIARA YA KATIBU WA TAGCO YALETA MATUMAINI KWA MAAFISA HABARI NJAIDI


Na Mwandishi Wetu 

Katika kuhakikisha Kuwa ufanisi unapatikana katika maeneo ya kazi na Maendeleo Kwa mafisa habari na mawasiliano Serikalini Suala la Kutembeleana na Kubadilisha uzoefu ni muhimu mno hayo yamesemwa na Katibu wa TAGCO 08.10.2022,


Akiongea wakati kutembelea mabanda ya Halmashauri za Mafia, Rifiji, Kibiti, Mkuranga, Kisarawe,Kibaha Dc,Chalinze,Kibaha TC, na Bagamoyo mkoani Pwani Katibu wa Chama Cha Maafisa Habari na Mawasiliano Serikalini (TAGCO)  Ndugu Abdul Njaidi alishauri Kwa Maafisa  hao kuhakikisha Kuwa wanajituma na kufanya Kazi Kwa Weledi ili kuzitangaza na kuzitambulisha fursa zilizopo katika maeneo Yao ya kazi Kwa jamii Ili kuleta tija Kwa maendeleo ya Jamii,


"Ifikie Hatua mafisa habari na mawasiliano Serikalini mjitume Kwa Hali na Mali kuhakikisha fursa za maeneo Yenu ya kazi zinatambulika Japo Kuna ugumu fulani Hivi ambao sio Rasmi ila nyie mnapaswa kufanya Kazi Kwa vigezo na viwango alisisitiza Njaidi"

"Sisi Maafisa Habari na Mawasiliano Serikalini katika taasisi ni viungo muhimu hivyo mjitambue na mfanye kazi Ili kuhakikisha mambo yanaenda sawa sawa na msiwe Watu wa kulalamika lalamika Kwa kukosa vitendea kazi kama Pc,Simu, na Camera Wewe Fanya kazi ikionekana Nzuri na imesaidia taasisi yako kiongozi wako atakupatia alifafanua Njaidi"


Hata hivyo Kwa niaba ya mafisa habari na mawasiliano Serikalini wenzake Mkoa wa Pwani Akiongea afisa habari Kisarawe Alimshukuru katibu huyo wa TAGCO kuwatembelea Kwa Umoja wao katika Mkoa wa Pwani na kumtaka afike Zaidi katika maeneo ya kazi Ili Kuona Uhalisia wa mazingira ya kazi,


*Kwa niaba ya wenzangu Pwani tumefurahishwa na ujio wako Hapa Kibaha na pia tunakuomba ufike Site Kuona Zaidi mazingira ya kazi Ili kama taasisi siku tukikaa Kuzungumza Mafanikio na changamoto zetu unazifahamu katika Kazi Pamoja na Kuona Zaidi fursa za kutangaza Zaidi Alimalizia Wazir"


Katika kuhakikisha Maonesho yanafana Kwa jamii wandishi wa habari na Maafisa Habari na Mawasiliano Serikalini wanashiriki Kwa kusaidia kuhabarisha na kutangaza fursa Kwa wanaofika katika maeneo ya Maonesho ya Viwanda Biashara na Uwekezaji Mkoa wa Pwani kauli mbiu ya Mwaka Huu 2022 ni,


 PWANI NI SEHEMU SAHIHI KWA UWEKEZAJI, PAMOJA TUJENGE VIWANDA NA AJIRA

Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • Tangazo kwa Umma Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura February 08, 2025
  • MKITANO WA BARAZA LA MADIWANI April 28, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NIMEFURAHISHWA NA MMLIVYOJIPANGA KISARAWE CHATANDA NA ZAINABU

    May 08, 2025
  • OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS SERIKALI MAPINDUZI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYA KISARAWE

    April 30, 2025
  • KISARAWE YAFANYA UTOAJI ELIMU YA DOZI YA NYONGEZA YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO(IPV2)

    April 30, 2025
  • KUVUNJWA KWA BARAZA LA MADIWANI KISARAWE UONGOZI WAJIVUNIA KUKAMILISHA MIRADI MBALIMBALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 5

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa