• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Kisarawe District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Stategic
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Administration and Human Resources
      • Planning and Statistics
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Agriculture and Irrigation
      • Livestock and Fisheries
      • Trade and Finance
      • Works and Fire Resque
      • Water
      • Land and Natural Resources
      • Community Development
      • Environment and Cleanliness
      • Health
    • Units
      • Legal
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Internal Audit
      • Procurement and Supplier
      • Election
      • Beekeping
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Investiments
    • Tourism Attractions
      • Traditional attractions
      • Cultural Attractions
      • Natural attractions
    • Agriculture
    • Pastoralism
    • Mineral
    • Teknolojia
    • Industries
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • livestock
  • Councillors
    • Councilors List
    • Council Committee
      • Finance, Administration and Planning
      • Economic, Construction and Environment
      • Council Multisectral Aids
      • Disciplinary
      • Social Welfare
    • Meeting Timetable
    • Chairman Timetable
  • Projects
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
    • Projects to be Implemented
  • Publications
    • By law
    • Customer Services Aggrement
    • Strategic Plan
    • Other Reports
    • Other Forms
    • Guidelines
  • Media Centre
    • Photo Gallery
    • Public Notice
    • Official and National Video
    • Press Release
    • Leaders Speech

DC NYANGASA AONGOZA KIKAO CHA DCC KISARAWE AWATAKA WATUMISHI KUONGEZA UFANISI ZAIDI KATIKA MIRADI

Posted on: February 12th, 2024

*DC NYANGASA AONGOZA KIKAO CHA DCC KISARAWE AWATAKA WATUMISHI KUONGEZA UFANISI ZAIDI KATIKA MIRADI*


KISARAWE PWANI


Baraza la Ushauri la wilaya ya Kisarawe (DCC) limepokea taarifa ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya Maendeleo kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe Taarifa hiyo imewasilishwa na Afisa Mipango wa Halmashauri ya Ndg  DEOGRATIUS LUKOMANYA kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kisarawe Ndg BEATRICE DOMINIC.



Kikao hicho kimefanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ya Wilaya Kisarawe  12.02.2024 pamoja na kuwaliika tasisi mbalimbali TARURA, RUWASA,TRA,TANESCO na DAWASA, taasisi zote hizo zimepokea na kushauri utekelezaji wa Majukumu mbalimbali kwa mujibu wa mipango kazi  na kujadiliwa na wajumbe wa kikao hicho kwa kuzingatia ufanisi na changamoto zinazoyakabili Halmashauri.


Katika kikao hicho kinachofanyika kila mwaka mara mbili kwa mujibu wa Sheria ya Tawala za Mikoa ya mwaka 1997 pamoja na marekebisho yake ni kikao kinachofanyika kwa misingi ya kupokea taarifa za utekelezaji na kutoa ushauri kwa utendaji na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya Maendeleo katika Mamlaka za Serikali za Mitaa nchini.



Mkuu wa wilaya ya  Kisarawe MHE FATMA NYANGASA akiongoza Kikao hicho baada ya taarifa za utekelezaji kwa  Halmashauri, MHE DC aliitaka Halmashauri kuwa na miradi ya kimkakati ambayo itaziwezesha Halmashauri kuzalisha fedha kutokana na uwekezaji unaotokana na mapato ya ndani ya Halmashauri Hasa Kupitia Katika Kilimo Cha ufuta,korosho,nk,



Kwa upande wa Taasisi za umma zinazojitegemea alizitaka kutoa huduma kwa wananchi kwa weledi kwa kuhakikisha miundombinu ya barabara,Maji na Umeme inawafikia wananchi pasipo shaka na Kuhakikisha wanatatua kero kwa muda mara zinapojitokeza bila kuchelewa.



*“Halmashauri ni wataalam na Madiwani niwatake mfanye kazi kama timu ili kuwaletea Maendeleo wananchi na kila mmoja asimame kwenye nafasi yake kwa kutekeleza majukumu yake,tubadilike ndugu zangu*.” Mhe FATMA NYANGASA Mkuu wa wilaya alisema,



Kwa upande wake Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Wilaya Kisarawe  Komred KHALFANI SIKA aliwataka washiriki wa kikao hicho kwa maana ya wataalam wa Mamlaka wa Halmashauri ya Wilaya Kisarawe na Mashirika yanayojitegemea kuwa na moyo wa kizalendo katika kuwatumikia wanakisarawe na watanzania kwa ujumla ili kutekeleza Ilani ya Chama cha Mapinduzi kama kilivyowaahidi watanzania hasa Katika miradi ya Elimu Katika kupendekeza na kuteua vipaumbele vya wapi mradi uende,


*Utakuta sio Hapa na Wala sio nyeie Kuna sehemu mradi unaenda sehemu ambayo sio yenye uhitaji basi kuzingatieni hili Wataalamu pahala pa shule iende shule na pahala penye uhitaji basi tupeleke huduma*"  Alisisitiza KOMRED KHALFANI SIKA


Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Kisarawe Ndg BEATRICE DOMINIC akichangia katika baraza hilo aliahidi kuyafanyia kazi maoni mbalimbali yaliyotolewa na wajumbe kwa misingi ya kuboresha utoaji huduma kwa wananchi sanjari na kuibua miradi ya kimkakati ambayo itakuwa na tija kwa Halmashauri na kuwa endelevu.

*"Ndugu wajumbe nichukue nafasi hii kuwaahidi yote mlioyapendekeza Yale ya kitalamu tutaendelea kuyafanyia kazi na kuyaboresha Zaidi Katika utekelezaji kwa Vitendo*" alisisitiza Ndg BEATRICE DOMINIC

Announcements

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA-AWAMU YA PILI TAREHE 16-22 MEI 2025 May 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • KUITWA KWENYE SEMINA YA ANUANI ZA MAKAZI March 30, 2022
  • View All

Latest News

  • JIMBO LA KISARAWE LATOA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGAKURA AWAMU YA PILI

    May 14, 2025
  • JIMBO LA KISARAWE LATOA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGAKURA AWAMU YA PILI

    May 14, 2025
  • JIMBO LA KISARAWE LATOA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGAKURA AWAMU YA PILI

    May 14, 2025
  • JIMBO LA KISARAWE LATOA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGAKURA AWAMU YA PILI

    May 14, 2025
  • View All

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
More Videos

Quick Links

  • Natural Attractions
  • COMMUNITY HEALTH FUND
  • Kisarawe History
  • Photo Events in the Council
  • Rehabilitation of Theater Block
  • Council strategics
  • How to meet with District Chairman
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Councilors Name List and Phone Number

Related Links

  • President's Office Public Service, Management and Good Governance
  • The National Examinations Council Of Tanzania
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • The Higher Education Students’ Loans Board
  • PPRA
  • State House
  • Employment
  • National Bureau Of statistics
  • Salary slip potral
  • Government Website
  • Parliament
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2017 Kisarawe District Council . All rights reserved.