• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
      • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

‘’KISARAWE INA FURSA NZURI ZA MAENDELEO WAJASIRIAMALI WAWEZESHWE ZAIDI’’ JAFO.

Posted on: June 20th, 2019

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais  Tawala za mikoa na Serikali za mitaa  Mhe.Selemani  Jafo amewataka wajasiriamali wakubwa na wadogo waliopo nchini kuwekeza katika sekta zenye kuchochea maendeleo haraka katika jamii ili kuendana na kasi ya uchumi wa kati.

Aliyasema haya wakati akifungua kongamano la siku mbili  lililoandaliwa na  Baraza la Taifa la uwezeshaji wananchi kiuchumi  wakishiriana na Halmashauri ya Wilaya Kisarawe alipokuwa akichangia mada ya kilimo ,Biashara ,Mikopo ,kodi na uwezeshaji.

Aidha, Mhe  Jafo amemtaka mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya  ya Kisarawe Ndugu. Mussa Gama  kuandaa Miundobinu iliyo bora na salama kwa vikundi vya wajasiriamali mbalimbali  vilivyopo Kisarawe kupata mikopo na misaada ili kuboresha na kuleta tija kwa jamii.

Nae Mkurugenzi wa Wilaya Kisarawe  amemwakikishia Waziri Jafo kuwa wajasiria mali waliopo Kisarawe watapata mikopo kwa wakati kupitia Idara ya Maendeleo ya Jamii kwa kuratibu  mfumo mzuri na wenye tija kwa kwao.

Sambamba na hivyo leo Ndg. Gama aliwasilisha kwa Mhe. Jafo mfano wa hundi ya kiasi cha shilingi milioni miamoja na saba(107,000,000/=) ikiwa ni ukamilishaji wa asilimiakumi(10%) ya mapato ya ndani ili akabidhi kwa vikundi vya Vijana,Wanawake na Watu wenye Kisarawe.   

 KISARAWE TUNATEKELELEZA ILANI YA CCM KWA VITENDO


Matangazo

  • KUCHUKUWA FOMU ZA KUGOMBEA UBUNGE NA UDIWANI 2020 August 11, 2020
  • TAARIFA ZA MWENENDO WA UCHAGUZI JIMBO LA KISARAWE October 25, 2020
  • TAARIFA ZA MWENENDO WA UCHAGUZI JIMBO LA KISARAWE October 25, 2020
  • TAARIFA ZA MWENENDO WA UCHAGUZI JIMBO LA KISARAWE October 25, 2020
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • MHE. JAFO ATEMBELEA UJENZI WA SEKONDARI YA KISARAWE ILIYOPO KATA YA KAZIMZUMBWI PAMOJA NA KUONGEA NA WATUMISHI KATIKA HALMASHAURI YA KISARAWE.

    December 28, 2020
  • KIKAO CHA KUCHAGUA WANAFUNZI WA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021.

    December 18, 2020
  • KIKAO KAZI KATI YA MKURUGENZI MTENDAJI ,MAAFISA ELIMU KATA,WATENDAJI KATA,MAAFISA TARAFA,WALIMU WAKUU, WAKUU WA SHULE KUJADILI CHANGAMOTO NA KUPANGA MIKAKATI YA KUBORESHA ELIMU KATIKA WILAYA KISARAWE.

    December 17, 2020
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KISARAWE YAFANYA KIKAO KAZI CHA WADAU WA MAENDELEO.

    December 15, 2020
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu
  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa