• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

Elimu ya sekondari


Mkuu wa idara Ndugu Generosa Nyoni

Idara ya elimu sekondari ni miongoni mwa idara kumi na tatu zilizopo katika halmashauri. Idara hii  inazo shule za sekondari 21 zikiwemo za serikali 15 na za Binafsi 6. Kati ya shule hizo za serikali moja ni ya bweni na ni ya kidato cha tano na sita pekee.
Wilaya ina jumla ya wanafunzi  4,604  shule za serikali  wakiwemo wavulana  2,646  na wasichana  1,958. Na wanafunzi 1,033  shule za Binafsi wakiwemo wavulana 728  na wasichana 310 . Aidha wilaya inao walimu  522  katika shule za serikali wakiwemo wa shahada  345  na stashahada 185. Kati ya walimu hawa tunao upungufu wa walimu wa masomo ya sayansi na hisabati wapatao 100.

Katika kutekeleza shughuli zake idara inawajibika katika 

  • kutayarisha na kusimamia utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Sekondari(MMES),
  • kufuatilia na kutathmini maendeleo ya elimu ya sekondari katika Halmashauri,
  • kusimamia haki na maslahi ya walimu na watumishi wasio walimu,
  • kuhimiza shule kuinua ubora wa mazingira ya kujifunzia na kufundishia ikiwa ni pamoja na kujenga miundombinu ya madarasa, vyoo, nyumba za walimu na maabara.
  • Kuhimiza udhibiti wa nidhamu ya walimu na wanafunzi,
  • kusimamia taaluma na michezo shuleni. Kuhakikisha walimu wanapangwa kadri ya mahitaji yaani ikama. 

Aidha shughuli nyingine ni kuratibu, kukusanya na kuchambua takwimu mbalimbali zihusuzo shule kwa ujumla wake pamoja na kusimamia upanuzi wa elimu ya sekondari katika Wilaya.

Katika kutekeleza shughuli hizo Halmashauri imendelea kupandisha kiwango chake cha ufaulu k.m Kidato cha pili kimeendelea kupanda mwaka hadi mwaka 2012 asilimia 48.4, 2013 asilimia 62.7 na mwaka 2014 asilimia 87 na mwaka 2015 asilimia 82. Kidato cha nne matokeo yamekuwa asilimia 31.3 mwaka 2012, asilimia 46.3 mwaka 2013, asilimia 71 mwaka 2014 na mwaka 2015 asilimia 58. Hata hivyo kwa Kidato cha sita  maendeleo yamekuwa  asilimia 93 mwaka 2013 , 2014 asilimia 95 na mwaka 2015 asilimia 98.

Halmashauri imeendelea na utekelezaji wa ujenzi wa miundombinu ya shule kama vile madarasa, yamejengwa 171 kati ya 226 ambayo yanatosheleza kwa idadi ya wanafunzi waliopo, maabara zipo 32 kati ya 45, vyoo  matundu 226 kati ya 385 na nyumba za walimu 78 kati ya 522 ili kuzifanya shule kuwa shule zenye mazingira mazuri ya kujifunzia na kufundishia.

Maabara katika moja ya shule za Sekondari
Halmashauri imeendelea kupokea fedha za elimu bila malipo ambazo hupitia katika akaunti za shule kila mwezi na kuziwezesha shule katika masuala ya kiuendeshaji, ununuzi wa vifaa na kemikali pamoja na chakula cha wanafunzi wa bweni. Kuanzia januari hadi aprili tumepokea kiasi cha shilingi 168,379,000.00 zikiwemo shs. 106,394,000.00 za chakula, shs. 30,881,000.00 za capitation na fidia ya ada shs. 31,104,000.00

Palipo na mafanikio hapakosi changamoto. Baadhi ya changamoto hizo zinazokwamisha mafanikio ni
•    Uhaba wa vifaa vya kufundishia na kujifunzia vikiwemo vitabu na vifaa vya maabara
•    Ukosefu wa miundombinu ya kutosha na iliyo bora kama vyoo, ofisi, nyumba za walimu, maktaba na maabara. Tatizo hili linafanya
o     walimu wengi kukaa mbali na shule hivyo kushindwa kuwasaidia vijana wetu kwa ufanisi  kutokana na kukosa muda
o    Walimu kukosa mahali pazuri pa kujiandalia na hivyo kushindwa kutoa kinachotakiwa kikamilifu.
o    Tatizo la vyoo husababisha baadhi ya wanafunzi kuwa watoro
•    Wanafunzi kuishi mbali na shule na hata shule zilizo na hosteli wanafunzi kutozitumia hii hufanya muda mwingi watembee na wasikazanie masomo.


Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • Tangazo kwa Umma Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura February 08, 2025
  • MKITANO WA BARAZA LA MADIWANI April 28, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NIMEFURAHISHWA NA MMLIVYOJIPANGA KISARAWE CHATANDA NA ZAINABU

    May 08, 2025
  • OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS SERIKALI MAPINDUZI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYA KISARAWE

    April 30, 2025
  • KISARAWE YAFANYA UTOAJI ELIMU YA DOZI YA NYONGEZA YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO(IPV2)

    April 30, 2025
  • KUVUNJWA KWA BARAZA LA MADIWANI KISARAWE UONGOZI WAJIVUNIA KUKAMILISHA MIRADI MBALIMBALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 5

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa