• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Kisarawe District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Stategic
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Administration and Human Resources
      • Planning and Statistics
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Agriculture and Irrigation
      • Livestock and Fisheries
      • Trade and Finance
      • Works and Fire Resque
      • Water
      • Land and Natural Resources
      • Community Development
      • Environment and Cleanliness
      • Health
    • Units
      • Legal
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Internal Audit
      • Procurement and Supplier
      • Election
      • Beekeping
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Investiments
    • Tourism Attractions
      • Traditional attractions
      • Cultural Attractions
      • Natural attractions
    • Agriculture
    • Pastoralism
    • Mineral
    • Teknolojia
    • Industries
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • livestock
  • Councillors
    • Councilors List
    • Council Committee
      • Finance, Administration and Planning
      • Economic, Construction and Environment
      • Council Multisectral Aids
      • Disciplinary
      • Social Welfare
    • Meeting Timetable
    • Chairman Timetable
  • Projects
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
    • Projects to be Implemented
  • Publications
    • By law
    • Customer Services Aggrement
    • Strategic Plan
    • Other Reports
    • Other Forms
    • Guidelines
  • Media Centre
    • Photo Gallery
    • Public Notice
    • Official and National Video
    • Press Release
    • Leaders Speech

MAONYESHO YA WIKI YA VIWANDA MKOA WA PWANI

Posted on: November 4th, 2018

MAONYESHO ya wiki ya Viwanda Mkoa wa Pwani yamefanyika Kibaha kwa kushirikisha Wilaya zote Saba za Mkoa wa Pwani kwenda kuonyesha na kutangaza Bidhaa za Viwandani walizonazo na kutangaza fursa za maeneo tengefu ya uwekezaji ya viwanda kilimo na makazi kwa lengo la kuwarahisishia na kuwavutia wawekezaji kuja kuwekeza katika Wilaya zao bila usumbufu wa aina yoyote ile kulingana na aina ya uwekezaji na uanzishaji wa kiwanda katika maeneo tengefu yanayohitajika hayo yote yakiwa ni utekelezaji wa ilani ya chama cha MAPINDUZI CCM Chini ya Rais John Pombe Magufuli kwa sera ya HAPA KAZI TU

KISARAWE ni miongoni mwa Wilaya zilizopata fursa ya kushiriki katika maonyesho hayo ya wiki ya Viwanda mkoa wa Pwani kwa kuonyesha na kutangaza fursa zilizopo kwa wawekezaji na wajasiriliamali waliopo na wanaotaka kuwekeza kuja kuwekeza kisarawe kutokana na kuwapo kwa dawati la uwezeshaji na uwekezaji kisarawe lenye lengo la kukuza na kutangaza fursa za uwekezaji katika maeneo ya kilimo na mifugo,utali,makazi na viwanda

UWEKEZAJ SEKTA YA KILIMO jumla ya eneo linalofaa kwa kilimo ni ekari 353,500 hekta zinazotumika kwa kilimo ni 30,000 sawa na asilimia 8.5 Banda la Kisarawe liliiitangaza sekta hii kwa kusema uwepo wa Ardhi yenye rutuba na udongo wenye kukubali kwa kilimo cha mazao ya Biashara na Chakula Kisarawe ni vyema kila Mjasiriamali na mwekezaji afikirie kuja kuwekeza katika sekta hiyo kwa ufanisii maana hatapata hasara miongoni mwa mazao yanayokubali kwa uzuri na kutokuadhiriwa na magonjwa ni Mihogo ,Ndizi Mtama,Nazi,Korosho na Viazi Mviringo hasa Kata ya Mafizi,Marumbo,Marui Gwata, Bwama nk

UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA MIFUGO

kutokana na kukua kwa mji na maeneo ya Kisarawe imetenga eneo maaalum la kufugia wanyama na kama Ngombe,Mbuzi na Kondoo sambamba na kutenga eneo la machinjio ya kisasa ya wanyama lililopo katika Kata ya Kazimzubwi Kitongoji cha Vigama ambalo ni kilomita 10 tu kutoka Pugu mnadani ambapo sasa ndio ulipo mnada wa Dar es salaam mifugo ambayo itapelekea kupatikana kwa kiwanda cha Ngozi na madawa kunakotokana na uwepo wa mifugo ya kutosha Kisarawe.

UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA VIWANDA NA MAKAZI, Katika kukabiliana na ongezeko la watu na makazi na ujenzi holela wa miji isiyopangwa duniani Wilaya imetenga eneo makhusi kwa ajili ya uwekezaji wa viwanda na makazi katika kata ya Kazimzubwi kwa ajili ya Viwanda na kata ya Kiluvya kwa ajili ya makazi kitongoji cha kilunya madukani, viwanja hivyo vipo vya aina tatu kulingana na matumizi na mahitaji ya mteja .

UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA UTALII Hii ni fursa ambayoo ni adhimu na yenye kutoa na kuchangia fedha za kigeni kwa wingi na kutoa ajira kwa wadau wenye kujihusisha na utalii kisarawe ina msitu mkubwa wa asili Kama kazimzumbwi ,kola,na hifadhi ya ruvu na taifa ya Sadani ambayo kwa asislimia kubwa ina wanyama wenye kuonekana na wasiokua na madhara sana kwa binadamu ambao ni kivutio cha utalii mfano wa wanyama hao ni Simba,tembo,swala,punda milia ,na wengine wengi ambao wanapatikana katika misitu hiyoo sambamba na uwepo wa mapango ya popo, ndege,kambi ya kinyanyiko ya utalii, na miti asili ya aina mbalimbali kama Mkongo,Mninga Mtondo. Hata hivyoo uwepo wa fursa ya uanzishwaji wa maduka ya vifaa vya utamaduni na pia utalii wa ndani na vituo vya utalii.

MAONYESHO HAYA yalipata fursa ya kutembelewa na wageni waalikwa kwa lengo la kuhamasisha ujenzi na uimarishaji wa viwanda vya mkoa wa pwani kama vile Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri wa Mungano wa Tanzania Mhe DR TULIA , Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi Mhe Selemani Jaffo, Waziri wa Nishati na Madini Dr Kalimani, Waziri wa Viwanda na Uwekezaji Mhe MWIJAGE,Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega,Naibu Waziri wa Nishati Mhe Subira Mgalu, WOTE KWA PAMOJA walisifu mbinu iliyootumika na viongozi wa mkoa wa pwani na wilaya zake kutekeleza kwa vitendo ilani ya CCM kwa kuanzisha maonyesho haya na kutoa wito kuendelea kila baada ya miezi mitatu badala ya kua kila mwaka mmoja ili kuvipa fursa viwanda na vyetu na wajasiria mali wetu kuonyesha bidhaa zao kwa wadau na watanzinia kwa ujumla na jumla 245 walitembelea banda la halmashauri ya kisarawe na 33 walionyesha nia ya kuwekeza kisarawe katika sekta ya kilimo,mifugo ,ufugaji nyuki,elimu,maziwa,viwanda na utalii.

KAULI MBIU ya wiki ya viwanda ni ‘’VIWANDA VYETU UCHUMI WETU’’


Announcements

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • Tangazo kwa Umma Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura February 08, 2025
  • MKITANO WA BARAZA LA MADIWANI April 28, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • View All

Latest News

  • NIMEFURAHISHWA NA MMLIVYOJIPANGA KISARAWE CHATANDA NA ZAINABU

    May 08, 2025
  • OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS SERIKALI MAPINDUZI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYA KISARAWE

    April 30, 2025
  • KISARAWE YAFANYA UTOAJI ELIMU YA DOZI YA NYONGEZA YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO(IPV2)

    April 30, 2025
  • KUVUNJWA KWA BARAZA LA MADIWANI KISARAWE UONGOZI WAJIVUNIA KUKAMILISHA MIRADI MBALIMBALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 5

    April 29, 2025
  • View All

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
More Videos

Quick Links

  • Natural Attractions
  • COMMUNITY HEALTH FUND
  • Kisarawe History
  • Photo Events in the Council
  • Rehabilitation of Theater Block
  • Council strategics
  • How to meet with District Chairman
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Councilors Name List and Phone Number

Related Links

  • President's Office Public Service, Management and Good Governance
  • The National Examinations Council Of Tanzania
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • The Higher Education Students’ Loans Board
  • PPRA
  • State House
  • Employment
  • National Bureau Of statistics
  • Salary slip potral
  • Government Website
  • Parliament
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2017 Kisarawe District Council . All rights reserved.