• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
      • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

TAMASHA LA USHOROBA KISARAWE UPDATE

Saturday 6th, March 2021
@Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

Karibu kwenye tamasha ambalo litafanyika kuanzia tarehe 05 -03-2021 hadi 07-03-2021 katika wilaya ya kisarawe viwanja vya Chanzige.Lengo la Tamasha ni kukuza na kuendeleza uhifadhi wa Wanyama (pori) na viumbe Hai wote wanaopatikana Katika Hifadhi  zetu za (misitu) na Wanyama (pori) hapa Tanzania.

Fursa za uwekezaji wilayani kisarawe

  • Uanzishwaji wa utalii wa boti kwenye mto Ruvu,sport fishing na kayaking(Ndani yakijiji cha Mafizi na Nyani) .
  • Kujenga Nyumba za kulala wageni,Hoteli ,kambi za kitalii na migahawa ya kitalii katika vijiji vya Mtunani,Vikumburu,Panga la Mwingereza,Kitonga Chole na Kisangire Boma la Mjerumani.Maeneo haya ndio wageni wengi watakuwa wanalala na kula wakielekea Mwalimu Nyerere National Park na hakuna huduma hizo kwa sasa.
  • Kuanzisha bustani za wanyama pori,Mashamba ya kufuga wanyama pori katika vijiji vya gwata,Mafizi,Panga la Mwingereza ,Sofi,Mafumbi,Kitonga chole,Ving’andi,Mtunani,kihare,Kisangire na Vikumburu.(Maeneo haya yamo kwenye eneo pendekezwa la Hifadhi ya Wanyama pori lenye ukubwa wa hekari 9302 .
  • Maeneo yenye milima na mabonde yanayofaa kuanzisha utalii wa michezo ya kamba.

RATIBA YA TAMASHA

  • Tarehe 05/03/2021-Uzinduzi na kutalii Hifadhi ya Taifa ya Mwalimu Nyerere.
  • Tarehe 06/03//2021-Utalii katika msitu wa asilia wa Kazimzumbwi(Hiking,Cycling,Trekking trails,kayaking,na mengine)
  • Tarehe 07/03/2021-Kukimbia mbio fupi na ndefu,Muziki na ngoma za Asili za kizaramo.





Matangazo

  • TAMASHA LA KISARAWE USHOROBA UPDATE February 03, 2021
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI KATA NA KATIBU MAHSUSI TAR 18/02/2021 February 10, 2021
  • BARAZA LA MADIWANI FEB 2021 February 10, 2021
  • MKUTANO WA HALMASHAURI ( BARAZA LA MADIWANI) May 08, 2018
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • KIKAO KAZI CHA MHE. JOKATE U. MWEGELO KIJIJI CHA MARUI MNGWATA..

    February 23, 2021
  • KISARAWE YAPITISHA BAJETI YA MWAKA 2021/2022 KIASI CHA SHILINGI BILIONI 39.8

    February 17, 2021
  • DC JOKATE USO KWA USO NA BODI YA TANESCO.

    February 11, 2021
  • MHE. JAFO ATEMBELEA UJENZI WA SEKONDARI YA KISARAWE ILIYOPO KATA YA KAZIMZUMBWI PAMOJA NA KUONGEA NA WATUMISHI KATIKA HALMASHAURI YA KISARAWE.

    December 28, 2020
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu
  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa