• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

BILIONI MOJA ZA P4R KUBORESHA MIUNDO MBINU YA AFYA NA ELIMU KISARAWE

Posted on: February 20th, 2019

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya kisarawe katika kutekeleza ilani ya chama cha mapinduzi kwa vitendo ameipatia jumla ya shilingi milioni arobaini na nne laki nne, shule ya sekondari makurunge kwa ajili ya kujenga vyumba viwili vya madarasa mapya ya shule hiyo inayokabiliwa na uhaba wa madarasa ya kusomea wanafunzi iliyopo katika kata ya kiluvya tarafa ya sungwi

Akizungumza katika kikao cha elimu elekezi na uhamasishaji ujenzi wa mradi huo juu ya hatua za kufuata katika sharia ya manunuzi na ujenzi wa madarasa  hayo ya vyumba viwili hapo makurunge afisa elimu sekondari wilaya mwalimu PATRIK GWIVAHA

“Alisema kwamba kwa ujumla huduma ya sekta ya elimu na afya inakua kila siku hivyo nayo mahitaji yake yanakua maana miundo mbinu iliyopo ni kidogo ukilinganisha na mahitaji ya sasa hivyo maboresho ni lazima yalingane na mahitaji na ndio maana Mkurugenzi wilaya akaamua kuipatia fedha shule hii ili kukabiliana na changamoto zlizopo makurunge”

“Ndugu zangu tupo hapa kuwakilisha kile ambacho mkurugenzi amekileta kwa wana makurunge ili kukabiliana na changamoto ya elimu na kuinua sekta  ya elimu kwa kusimamia maendeleo ya elimu kwa vijana wetu”

Aidha Gwivaha aliitaka bodi ya shule hiyo  ya makurunge na kamati ya ujenzi kusimamia sharia na kanuni za ujenzi na manunuzi kwa mujibu wa sharia za serikali kama inavyoelekeza katika ujenzi wa miradi ya serikali ili kuepusha usumbufu na lawama kwa mamlaka za usimamizi za serikali,sambamba na kufikia lengo kuu la ujenzi wa  mradi huu wa kisasa.                                              

 ‘’Ndugu wajumbe wa kamati na bodi ya shule nakuombeni sana Muhimu Mushirikiane katika ujenzi huu ili kufanikisha mradi huu kwa shule yetu kwa kuwashirikisha watalamu wa wilaya hasa kwa idara ya manunuzi na ujenzi kwa kila hatua ya mradi ,’’alisisitiza Guivaha 

‘’ofisi ya Mkurugenzi ina watalamu hivyo naomba makurunge mushirikiane ili kuondosha urasimu wa katika ujenzi katika mradi huu ili uwe wa kitalamu kwa kuondosha minongono ya lawama baina ya watalaamu na wajumbe wa ujenzi wa  mradi huu’’

Naye Kaimu afisa manunuzi wa wilaya ndg Mussa Maganga  aliwambia wajumbe wa bodi na kamati ya ujenzi kuwa ofisi yake ipo tayari kutoa mashirikiano kwa manunuzi ya vifaa vya ujenzi kila hatua ya mradi ili kufikia lengo la mradi ambao unatarajiwa kuchukua muda wa miezi miwili kutoka sasa,

 ‘’Ndugu wa wajumbe muhimu tuzingatie sheria na kanuni za manunuzi na katika hili ofisi yangu itakua bega kwa bega na kamati teule katika kuhakikisha tunakamalisha mradi kwa wakati hapa makurunge ’’ alimalizia Maganga

 Naye kaimu Mhandisi wa majengo kisarawe Eng Ernest Maungo alisisitiza ushirikiano katika kufikia ujenzi bora wa Viwango vinavyohitajika kwa mujibu wa sheria za majengo ili kuleta  matokeo chanya ya majengo na miradi ya serikali inayopata fedha za mashirika au serikali pamoja na kuwashirikisha wananchi ili waweze kujua miradi iliyopo katika jamii yao,

 Jumla ya shilingi bilioni moja zitatumika  kujenga miundo mbinu ya elimu kwa shule za msingi na sekondari na sambabmba na vyoo na nyumba za walimu pamoja na vituo vya afya katika kata za msimbu,kibuta ,msanga,,mzenga ,masaki na vihingo kisarawe ambazo fedha hizo zintokana na mfuko wa PAY FOR RESULT (P4R),

Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • Tangazo kwa Umma Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura February 08, 2025
  • MKITANO WA BARAZA LA MADIWANI April 28, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NIMEFURAHISHWA NA MMLIVYOJIPANGA KISARAWE CHATANDA NA ZAINABU

    May 08, 2025
  • OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS SERIKALI MAPINDUZI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYA KISARAWE

    April 30, 2025
  • KISARAWE YAFANYA UTOAJI ELIMU YA DOZI YA NYONGEZA YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO(IPV2)

    April 30, 2025
  • KUVUNJWA KWA BARAZA LA MADIWANI KISARAWE UONGOZI WAJIVUNIA KUKAMILISHA MIRADI MBALIMBALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 5

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa