• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

DC MAGOTI APOKEA HATI HATI ZA KIMILA KUTOKA TANAPA

Posted on: July 29th, 2025

DC MAGOTI APOKEA HATI HATI ZA KIMILA KUTOKA TANAPA

Mkuu wa wilaya ya kisarawe mhe Petro Magoti leo tarehe 29-07-2025 amepokea hati za kimila kwa vijiji vitano vya Tarafa ya chole  Wilaya ya Kisarawe ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mpango wa urasimishaji wa mipaka kati ya maeneo ya hifadhi na makazi ya wananchi.Akipokea hati hizo leo kutoka kwa COI-I.J.Epimack afisa mahusiano jamii wa tanapa  Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe,  amefuraishwa na kitendo hicho za kupokea hati hizo 1562.

Akizungumza wakati wa kukabidhiwa hati hizo  Mhe. Petro Magoti ameishukuru TANAPA kwa hatua hiyo muhimu na kueleza kuwa hati hizo zitasaidia kuondoa migogoro ya ardhi iliyodumu kwa muda mrefu. Alitoa wito kwa wananchi wa vijiji husika kuendelea kushirikiana na Serikali katika kulinda maeneo ya hifadhi na kutumia ardhi kwa shughuli endelevu za maendeleo ya kijamii kwa ujumla

Kwa upamde wake Afisa Mahusiano Jamii wa Tanapa Ndg Epimack alisema kuwa hatua hiyo ni mwendelezo wa juhudi za kuhakikisha jamii zinazoishi jirani na hifadhi zinakuwa na usalama wa umiliki wa ardhi na kunufaika na shughuli za maendeleo bila vikwazo vya mipaka. Aliongeza kuwa TANAPA itaendelea kushirikiana na viongozi wa wilaya na vijiji ili kuhakikisha ustawi wa wananchi unazingatiwa.

Inakadiliwa watu 1562 watanufainika na mpango huo  na Vijiji vilivyonufaika na mpango huu ni pamoja na Chole samvula, Kihare, Koresa,mafumbi na kwala, Mpango huu umelenga kutoa uhakika wa kumiliki ardhi kwa wananchi, kupunguza migogoro kati ya hifadhi na jamii, sambamba na kuimarisha usimamizi wa mazingira.

Ikumbukwe makabidhiano ayo yameshuhudiwa na baadhi ya maafisa pamoja na viongozi wa serikali ya wilaya ambapo TANAPA imeahidi kufuatilia matumizi ya eneo hilo ili kuhakikisha linaendelezwa kwa mujibu wa makubalianao huku serikali ya wilaya ikiahidi kutoa ushirikianao wa karibu kwa kuhakikisha eneo hilo linanufaisha wananchi wa kisarawe

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 July 02, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA МКАТАBA KWA WAKUSANYA MAPATO July 08, 2025
  • MATUKIO MUHIMU YA UKAGUZI WA MBIO ZA MAGARI KITUO CHA KISARAWE KAZIMZUMBWI June 28, 2025
  • Mikopo ya Elimu ya Juu kupitia Bodi ya Mikopo (HESLB) June 17, 2025
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC MAGOTI APOKEA HATI HATI ZA KIMILA KUTOKA TANAPA

    July 29, 2025
  • ARO KATA JIMBO LA KISARAWE WALA VIAPO

    August 04, 2025
  • MHE.MAGOTI ATEMBELEA BANDA LA KISARAWE NANENANE

    August 02, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO ANUANI ZA MAKAZI KWA WATENDAJI WA VIJIJI NA KATA

    July 07, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa