• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

DKT DUGANGE KISARAWE INARIDHISHA KATIKA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: November 15th, 2022

DKT DUGANGE KISARAWE INARIDHISHA KATIKA MIRADI YA MAENDELEO

Na

Mwandishi Wetu


Naibu waziri wa Tamisemi afya Dkt Dungange afanya ziara halmashauri ya wilaya ya kisarawe 14/11/2022 na kupongeza juhudi za Maendeleo zilizofikiwa kwa upande wa Afya ,Katika kuhakikisha halmashauri ya wilaya ya kisarawe inafikia zaidi maendeleo yaliyokusudiwa mjini na vijijini, Naibu waziri TAMISEMI Mheshimiwa Dkt Festo John Dugange amefanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotelekezwa na fedha toka serikali kuu,mapato ya ndani na fedha za wadau wa ndani na nje.


Amepokea taarifa fupi ya wilaya alipokuwa akifanya mazungumzo Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Mheshimiwa Nickson John akiambatana na DAS Mwanana Msumi, Mkurugenzi ndugu James  Cosmas Chitumbi, Mganga Mkuu wa  Wilaya Dkt Zaituni Hamza na wakuu wa idara mbalimbali  pia  ameipongeza halmashauri ya kisarawe katika ukusanyaji wa mapato na amesisitiza matumizi sahihi ya fedha za mapato ziwekwe kwenye miradi inayoonekana na itakayowanufaisha wananchi.

Katika ziara hiyo Mh.Naibu waziri amepongeza kasi ya utekelezwaji wa miradi hiyo na namna inavyosimamiwa, pamoja na mambo mengine alitembelea na kujionea ujenzi wa jengo la hospitali ya halmashauri ya wilaya ya OPD na EMD na kupokea taarifa ya hali ya utoaji wa huduma ya afya,ujenzi wa madarasa mawili ya shule ya msingi msimbu,zahanani ya msimbu na utendaji kazi wa kikundi cha WAZAZI WAFUGA NYUKI (KIWAWANYU) wenye mradi wa bakery ya mikate, keki na kilimo cha Uyoga.

Amepongeza kazi nzuri inayoendana na dhamira ya kikundi cha WAZAZI WAFUGA NYUKI (KIWAWANYU) kwa hatua waliofikia na katika taarifa waliomba generator,usafiri na jengo la kuhifadhia bidhaa wanazotengeneza.


Akiwa katika shule ya sekondari ya msimbu amepongeza ujenzi wa madarasa hayo mawili kwa hatua waliofikia na kutaka majengo hayo yawe yakamilishwe kwa kuzingatia ubora na samani ili mpaka kufika januari yaanze kutimika


Mwisho kabisa Mh.Naibu waziri amefurahishwa na uongozi wa kata ya msimbu na wananchi wake kwa kuamua kuwekeza fedha kujenga zahanati pia ameiomba serikali ya kata ya msimbu waangalie namna ya kupata fedha kupitia mapato ili kukamilisha baadhi ya miundombinu ili zahanati ipate usajili na ameshauri viongozi wawe wanajiridhisha na taratibu na gharama zinazotumika kununua vifaa vya ujenzi vinavyofuata taratibu ya manunuzi na bei ya soko.

Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • Tangazo kwa Umma Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura February 08, 2025
  • MKITANO WA BARAZA LA MADIWANI April 28, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NIMEFURAHISHWA NA MMLIVYOJIPANGA KISARAWE CHATANDA NA ZAINABU

    May 08, 2025
  • OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS SERIKALI MAPINDUZI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYA KISARAWE

    April 30, 2025
  • KISARAWE YAFANYA UTOAJI ELIMU YA DOZI YA NYONGEZA YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO(IPV2)

    April 30, 2025
  • KUVUNJWA KWA BARAZA LA MADIWANI KISARAWE UONGOZI WAJIVUNIA KUKAMILISHA MIRADI MBALIMBALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 5

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa