• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

Jumla Ya Vikundi 35 Vyakopeshwa Wilaya Ya Kisarawe

Posted on: September 13th, 2018

Jumla ya vikundi thelathini na tano vyenye idadi ya wanachama 229 vimefanikiwa kupata mkopo kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

mkopo huo wenye thamani ya jumla ya kiasi cha shilingi milioni mia moja na elfu kumi na mbili na laki nane (112,800,000) unatoka kwenye mfuko wa maendeleo ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu ambapo ni asilimia kumi ya mapato yanayokusanywa na Halmashauri kila mwaka.

Akikabidhi hundi za mikopo hiyo mgeni rasmi ambaye ni Waziri wa Nchi ofisi ya Rais Tawla za Mikoa na Serikali za Mitaa Mheshimiwa Selemani Jafo, amesema Serikali imeamua kufanya kazi kwa vitendo zaidi ambapo kwa sasa Halmashauri zote Nchini zimetakiwa kutenga mapato asilimia kumi ya bajeti yake kila mwaka  na kuwapa mikopo wanawake,vijana na watu wenye ulemavu bila riba.

‘’Mwaka huu wakati wa bajeti tulipeleka muswada wa sheria kuhusu mikopo inayotolewa na Halmashauri na bahati njema Bunge limepitisha muswada huo na kuwa sheria kwa hiyo kuanzia sasa mikopo inayotolewa na Halmashauri itatolewa kwa vikundi hivi pasipo kuwa na riba’’ amesema Mheshimiwa Jafo.

Katika awamu hii ya utoaji mikopo jumla vikundi vilivyokopeshwa ni thelathini na tano( 35) ambapo Wanawake ni vikundi 22  vyenye jumla ya wanachama 142 na kiasi walichokopeshwa ni shilingi Milioni hamsini na tatu na laki tano (53,000,000/=), vikundi vya vijana waliokopeshwa ni tisa vyenye  wanachama `Hamsini na tisa ambapo wamekopeshwa jumla ya shilingi milioni arobaini na tisa na laki nane(49,800,000) na vikundi vya watu wenye ulemavu vilikuwa ni vinne vyenye jumla ya wanachama ishirini na nane na wamekopeshwa kiasi cha shilingi milioni tisa na laki tano(9,500,000)

Vikundi vilivyopata mikopo kwa awamu hii ya kwanza kwa mwaka huu vinajishughulisha na uzalishaji wa bidhaa za viwanda vidogo vidogo kama vile  utengenezaji wa masweta,batiki,vikoi,mafuta ya mgando,mikeka,usindikaji wa mvinyo na shughuli nyinginezo pia vikundi vingine vinajishughulisha na biashara ndogondogo kama  vile magenge,migahawa, uendeshaji wa boda boda na kilimo.

Hafla ya makabidhiano ya mikopo imehudhuriwa pia na Katibu Tawala wa Mkoa  Pwani,mkuu wa wilaya ya kisarawe mheshimiwa Jokate Mwegelo,Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe Ndugu Mussa Gama, Katibu Tawala wa Wilaya ya Kisarawe Ndugu Mtela Mwampamba,Mwenyekiti wa Halmashauri Mheshimiwa Hamisi Dikupatile, Kamati ya Fedha  na Viongozi wengine wa Chama Cha Mapinduzi wakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kisarawe ndugu Halfani Sika     

Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • Tangazo kwa Umma Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura February 08, 2025
  • MKITANO WA BARAZA LA MADIWANI April 28, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NIMEFURAHISHWA NA MMLIVYOJIPANGA KISARAWE CHATANDA NA ZAINABU

    May 08, 2025
  • OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS SERIKALI MAPINDUZI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYA KISARAWE

    April 30, 2025
  • KISARAWE YAFANYA UTOAJI ELIMU YA DOZI YA NYONGEZA YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO(IPV2)

    April 30, 2025
  • KUVUNJWA KWA BARAZA LA MADIWANI KISARAWE UONGOZI WAJIVUNIA KUKAMILISHA MIRADI MBALIMBALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 5

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa