• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

Kero ya Maji yapatiwa ufumbuzi Kisarawe

Posted on: May 21st, 2018

Shilingi Bilioni 10.9 Zasainiwa Kuleta Maji Kisarawe.

Jumla ya kiasi cha shilingi bilioni kumi na milioni mia tisa zinatarajiwa kutumika katika ujenzi  wa ulazaji wa bomba la maji kutoka Kibamba kuelekea Kisarawe umbali wa takribani kilomita thelathini na tisa.

Katika hafla ya utiaji saini wa mradi huo mkubwa ulioshuhudiwa na mawaziri wawili wa serikali ambao ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe.Selemani Jafo (MB) na Waziri wa maji Mhe. Isack Kamwelwe,Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo,Mbunge wa viti maalum Mkoa wa Pwani Mhe Zainabu Vullu,Viongozi mbalimbali  pamoja na wananchi wa Kisarawe umeshudia mpango mahsusi wa kuleta maji kutoka bomba kuu la maji kutoka Ruvu linalopita pembezoni mwa barabara ya Morogoro kwenda kisarawe

Wakati wa Hafla hiyo iliyofanyika viwanja vya stendi ya Wilaya ya Kisarawe Waziri wa OR-TAMISEMI ambaye pia  ni mbunge wa Kisarawe Mhe Selemani Jafo amesema ni furaha kubwa kuona kuwa hatimaye sasa Kisarawe inapata maji safi na salama ya kutosha kutoka Ruvu kwani itasaidia mji wa Kisarawe kubadilika na kuleta  maendeleo.

‘’tuna furaha kubwa kwa ajili ya mradi huu kwani tuna eneo kubwa la viwanda ambalo limetengwa hivyo mradi huu ni fursa itakayowezesha eneo letu kubadilika kwani shida yetu kubwa ilikuwa ni maji’’ alisema Mhe. Selemani Jafo.

Vilevile Waziri wa maji  Mhe kamwelwe amesema katika kutekeleza ilani ya chama tawala ni lazima watekeleze yale waliyoyaahidi kwa wananchi.Mradi huu wa ulazaji mabomba kutoka Kibamba kuja Kisarawe utawezesha kiasi cha maji lita takribani milioni nne kufika Kisarawe kwa siku na utachukua umbali wa kilomita 39 kulaza mabomba yenye ukubwa wa milimita 400 na mabomba yenye ukubwa wa milimita 80 hadi 200 kwa ajili ya usambazaji maji  kwa wananchi na taasisi nyinginezo.

Tukio la utiaji saini lilifanywa baina ya Serikali kupitia kwa Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa DAWASA Mhandisi Romanus Mwang’ingo na Mkandarasi aliyekabidhiwa ujenzi wa ulazaji mabomba ambaye ni kampuni kutoka nchini China inayojulikana kwa jina la China Henan International Cooperation GROUP  ambapo kiongozi wake Ndugu Wang Xiaogang alihusika kwenye utiaji saini huo.  

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 July 02, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA МКАТАBA KWA WAKUSANYA MAPATO July 08, 2025
  • MATUKIO MUHIMU YA UKAGUZI WA MBIO ZA MAGARI KITUO CHA KISARAWE KAZIMZUMBWI June 28, 2025
  • Mikopo ya Elimu ya Juu kupitia Bodi ya Mikopo (HESLB) June 17, 2025
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC MAGOTI APOKEA HATI HATI ZA KIMILA KUTOKA TANAPA

    July 29, 2025
  • ARO KATA JIMBO LA KISARAWE WALA VIAPO

    August 04, 2025
  • MHE.MAGOTI ATEMBELEA BANDA LA KISARAWE NANENANE

    August 02, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO ANUANI ZA MAKAZI KWA WATENDAJI WA VIJIJI NA KATA

    July 07, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa