• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

Kijiji Cha Yombo Lukinga Kisarawe Chatoa Somo Kwa Wataalam

Posted on: November 14th, 2018


Wananchi wa kijiji cha Yombo Lukinga kilichopo kata ya chole Tarafa ya chole Wilaya ya Kisarawe wametoa elimu ya kutosha kwa wataalam mbalimbali waliofika kijijini hapo kujifunza namna ya kuibua miradi na kutekeleza miradi hiyo kwa ufanisi.

Elimu hiyo imetolewa na Halmashauri ya kijiji ikiongozwa na Mwenyekiti wa kijiji pamoja na wataalamu waliopo kijijini hapo kwa wataalam kutoka Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa (TAMISEMI) Walioambatana na ujumbe kutoka shirika la Misaada kutoka Japan (JICA) ambapo wamejifunza namna ya ushirikishaji wananchi kwenye kuchangia utekelezaji wa miradi mbalimbali inayowahusu wananchi wenyewe.

Katika mafunzo hayo wajumbe wa Halmashauri ya kijiji cha yombo Lukinga wamebainisha kuwa uongozi bora unaowashirikisha wananchi ndio chachu ya mafanikio waliyo nayo ambapo wananchi wanajenga Imani na matumaini kwa viongozi wao kiasi cha kuwawezesha wao kuchangia kwa hali na mali miradi inayopendekezwa kutekelezwa kwenye kijiji chao.

Kijiji cha Yombo Lukinga kimefanikiwa katika kutekeleza miradi ya maendeleo ambapo hapo awali kwao ilikuwa ni changamoto kubwa kwa ustawi wa jamii yao. Wananchi wameweza kuibua na kutekeleza ujenzi wa shule ya msingi ili watoto wao waweze kujifunza .

Pia wameibua na kuanza kutekeleza mradi wa ujenzi wa Zahanati ya kijiji na mpaka sasa ujenzi huo bado unaendelea kwa wananchi kujitolea na serikali imeendelea kuwaunga mkono katika kutekeleza sera ya mkono kwa mkono. 

Aidha wajumbe wa Halmashauri ya kijiji cha Yombo Lukinga wamepongeza na kushukuru uungwaji mkono wa kiwango cha juu unaofanywa na Halmashauri ya wilaya katika kufanikisha kutekeleza miradi inayoibuliwa na wananchi ambapo katika mradi wa ujenzi wa madarasa Halmashauri ya Wilaya imechangia kwa kiasi kubwa pia wanaendelea kuchangia ujenzi wa zahanati unaoendelea. 

Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • Tangazo kwa Umma Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura February 08, 2025
  • MKITANO WA BARAZA LA MADIWANI April 28, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NIMEFURAHISHWA NA MMLIVYOJIPANGA KISARAWE CHATANDA NA ZAINABU

    May 08, 2025
  • OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS SERIKALI MAPINDUZI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYA KISARAWE

    April 30, 2025
  • KISARAWE YAFANYA UTOAJI ELIMU YA DOZI YA NYONGEZA YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO(IPV2)

    April 30, 2025
  • KUVUNJWA KWA BARAZA LA MADIWANI KISARAWE UONGOZI WAJIVUNIA KUKAMILISHA MIRADI MBALIMBALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 5

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa