• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

KIKAO KAZI CHA MHE. JOKATE U. MWEGELO KIJIJI CHA MARUI MNGWATA..

Posted on: February 23rd, 2021

KIKAO KAZI CHA MHE. JOKATE U. MWEGELO KIJIJI CHA MARUI MNGWATA

Tarehe 23/02/2021 Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Mhe. Jokate U. Mwegelo amefanya ziara ya kikao kazi katika kijiji cha Marui Mngwata ambacho ni maarufu kwa ajili ya zao la ndimu. Mh. Mkuu wa Wilaya amefanya kikao kwa ajili ya kutangaza kuanza rasmi kwa msimu wa kilimo katika maeneo yote ya wilaya ya Kisarawe.

Aidha Mhe.Jokate alisikiliza changamoto wanazopata wakulima;

1.Elimu juu ya kilimo

Wakulima waomba elimu juu ya kilimo ili waweze zalisha mazao ya kutosha, wakulima wamekiri kuwa endapo watapatiwa elimu ya kutosha wataweza zalisha zaidi.

2.Uhitaji wa soko katika kijiji cha Marui Mngwata

Wanachi wamemuomba Mhe.Jokate soko ili kuepukana na walanguzi.

3.Uboreshaji wa Barabara

 Wananchi wameomba barabara iboreshwe ili iwe rahisi kwa ajili ya kusafirisha mazao kutoka shambani.

4. Uvamizi wa mashamba.

Wakulima wamelalamika mbele ya Mhe. Mkuu wa wilaya kuhusiana na uvamizi kutokea Wilaya ya mkuranga, hivyo wameomba mipaka iwepo kuonesha mwisho wa kisarawe na Mwanzo wa mkuranga ili kuepusha uvamizi wa mashamba.

Viongozi wa kijiji cha Marui Mngwata walianisha baadhi ya mafanikio yakiwemo;

1. Ugawaji wa ekari tatu kwa kila mwanachi ili kuondoa mashamba pori.

2. Mshikamano kati ya walimu na wanafunzi katika kilimo, wanafunzi wa kijiji cha Marui Mngwata wanashilikiana na walimu na hii imesaidia kuongeza mazao ya chakula kwa wanafunzi.

Mh.Jokate aliambatana na watalaam wa Kilimo  ambao walitoa ufafanuzi na kujibu baadhi ya maswali kutoka kwa wakulima, pia watalaam wa kilimo walitoa taarifa ya mikopo kwa wakulima wadogo wadogo kutoka NMB.

Mhe. Mkuu wa wilaya alisikiliza changamoto za wananchi na kuwaambia  atazitatua kwa haraka ili kufanya Marui Mngwata kuwe kitovu cha uzalishaji mazao, aidhaa aliahidi kufanya tena mawasiliano na TARURA kuhusiana na Barabara.

Pia alihimiza viongozi kutembelea kijijini Marui Mngwata kwa ajili ya kutoa elimu mara kwa mara na kukataa sababu ya usafiri kuwa kikwazo cha wataalamu kufika viijini.

Pia alihimiza wakulima kufanya kazi kwa bidii.

Matumizi mzuri ya fedha na ukusanyaji mzuri wa mapato kwa kijiji kwani kuna baadhi ya watu wanakweka kulipa ushuru.


Imetolewa na Kitengo Cha TEHAMA na UHUSIANO-Kisarawe

Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • Tangazo kwa Umma Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura February 08, 2025
  • MKITANO WA BARAZA LA MADIWANI April 28, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NIMEFURAHISHWA NA MMLIVYOJIPANGA KISARAWE CHATANDA NA ZAINABU

    May 08, 2025
  • OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS SERIKALI MAPINDUZI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYA KISARAWE

    April 30, 2025
  • KISARAWE YAFANYA UTOAJI ELIMU YA DOZI YA NYONGEZA YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO(IPV2)

    April 30, 2025
  • KUVUNJWA KWA BARAZA LA MADIWANI KISARAWE UONGOZI WAJIVUNIA KUKAMILISHA MIRADI MBALIMBALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 5

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa