• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

KIKAO KAZI KATI YA MKURUGENZI MTENDAJI ,MAAFISA ELIMU KATA,WATENDAJI KATA,MAAFISA TARAFA,WALIMU WAKUU, WAKUU WA SHULE KUJADILI CHANGAMOTO NA KUPANGA MIKAKATI YA KUBORESHA ELIMU KATIKA WILAYA KISARAWE.

Posted on: December 17th, 2020

KIKAO KAZI KATI YA MKURUGENZI MTENDAJI ,MAAFISA ELIMU KATA,WATENDAJI KATA,MAAFISA TARAFA,WALIMU WAKUU, WAKUU WA SHULE KUJADILI CHANGAMOTO NA KUPANGA MIKAKATI YA KUBORESHA ELIMU KATIKA WILAYA KISARAWE.

Leo tarehe 17/12/2020 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Ndugu Mussa Gama alikuwa na kikao kazi kati ya Maafisa Elimu kata,Maafisa Tarafa,Wakuu wa Shule na Walimu Wakuu. Mgeni rasmi ndugu Mussa Gama alifungua kikao kwa kuwakaribisha washiriki katika kikao kazi na kuwapongeza washiriki wa kikao na kuwataka kuendelea  kufanya kazi kwa bidii ili kuleta maendeleo chanya. Ndugu Gama alisema halmashauri imetumia rasilimali nyingi kuliko matokeo tuliyoyapata.

Aidha ndugu Gama alisisitiza kila mmoja awe na Ilani ya chama Tawala ili kutenda kazi kwa kufuata ilani ya Chama na kuhakikisha Ufaulu ndani ya Wilaya ya kisarawe unaongezeka .

Sambamba na hilo Ndugu Gama alinukuu usemi usemao “Fanyeni mti kuwa mzuri au Mbaya na matunda yake yatatambulika” Ni vyema tukafanyakazi vizuri ili matunda mazuri yajitangaze . Tukiwa na bidii katika kuelimisha na kufundisha wanafunzi vizuri matunda yake tutatokomeza Ziro katika shule zetu zote.

Gama alisema “ Lengo la kikao kazi ni kujadili Changamoto na kutengeneza mpango Mkakati mzuri wa kutatua Changamoto zote ili kuinua Elimu katika Halmashauri yetu ya Kisarawe”

Pia Afisa Elimu Msingi Ndugu Bane alisisitiza wakuu wa shule na walimu wakuu kusimamia nidhamu mashule kulingana na Mwongozo wa Elimu unavyowataka kufanya.Alisema Kama kutakuwa na nidhamu kuanzia kwa walimu basi hata watoto watakuwa na nidhamu na Ufaulu utaongezeka.

Katika kikao Hicho Afisa Elimu Sekondari Ndugu Patrick Gwivaha alisisitiza kufanya kazi kwa weledi ,kuwa wabunifu na kuwakumbusha watendaji wa kata ,Maafisa Elimu kata,Wakuu wa shule na walimu Wakuu kuhusu Majukumu yao na kuyasimamia.

Mgeni rasmi alimpa nafasi Mganga Mkuu wa Wilaya Ndugu Sobo ambaye aliwaomba washiriki kutoa Elimu ya Bima ya Afya iliyoboreshwa kwa wanafunzi ili wajiunge kwa wingi Maana itawasaidia katika Matibabu pindi wawapo mashuleni.Aidha alisema wanafunzi wote wachunguzwe afya (Medical Examination) katika vituo vyetu vya kutolea Huduma ndani ya Kisarawe haswa kwa wale wanaoenda kuanza masomo. Pia Ndugu Sobo aliomba watendaji wa Kata na Maafisa Tarafa kusimamia vituo vya kutolea Huduma vilivyopo kwenye maeneo ili kubaini kwa haraka Changamoto zilizopo na  kuhakikisha wananchi wanapata Huduma stahiki.

Mwisho Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya kisarawe ndugu Gama aliwataka washiriki kupanga mipango ambayo itakuwa na tija Katika Swala la Elimu ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe na Kuwaahidi kwamba mipango na Mikakati yote itatekelezwa na kupewa kipaumbelee.

Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • Tangazo kwa Umma Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura February 08, 2025
  • MKITANO WA BARAZA LA MADIWANI April 28, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NIMEFURAHISHWA NA MMLIVYOJIPANGA KISARAWE CHATANDA NA ZAINABU

    May 08, 2025
  • OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS SERIKALI MAPINDUZI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYA KISARAWE

    April 30, 2025
  • KISARAWE YAFANYA UTOAJI ELIMU YA DOZI YA NYONGEZA YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO(IPV2)

    April 30, 2025
  • KUVUNJWA KWA BARAZA LA MADIWANI KISARAWE UONGOZI WAJIVUNIA KUKAMILISHA MIRADI MBALIMBALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 5

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa