• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

KISARAWE KUPIMA ARDHI KISASA YENYEWE NA WATALAMU WAKE

Posted on: February 1st, 2019

Halmashauri ya wilaya ya kisarawe imenunua kifaa cha kisasa cha kupima ARDHI kinachojulikana kama   SOUTH GPS.S86  [1BASE AND ROVER] kwa dhamani ya milioni aroubaini na sita laki saba kwa  kwa lengo la kupima na kupanga matumizi bora ya ardhi kwa maeneo yote ambayo hayajapimwa na kupangwa kisasa na bora kwa urasimishaji na miundo mbinu ya maendeleo KISARAWE                                                                                     

Akizungumza wakati wa makabidhiano ya kifaa hicho katika ukumbi wa Halmashauri hiyo mtaalam wa kupima na kupanga MATUMIZ YA ARHI kwa niaba ya mkurugenzi mtendaji wilaya hiyo  Afisa ARDHI na MALIASILI Ndg Mabula K.Isambula      

 Mabula alisema  kwa sasa changamoto zote za ardhi kwa Kisarawe hasa kwa maeneo ambayo hayajafikiwa kwa kupimwa na kupangwa matumizi bora yanaenda kutatuliwa maana kifaa hichi ni mkombozi na hasa kutokana na kuwa na uwezo mkubwa na wa kisasa wa kufanya kazi kwa hali ya juu kabsa

Mabula ‘’ndugu wajumbe hiki ni kifaa cha kisasa na bora kabisa kununuliwa kwa matumizi ya ardhi hapa KISARAWE Imani yangu tunaenda kumaliza na kutafua changamoto zote za ardhi kwa kufika maeneo ambayo hajapimwa  na kupangwa mpaka sasa’’ alisema mabula  

 Kisarawe ina maeneo mengi ya kupimwa kwa ajili ya kilimo, maakazi ya kisasa, viwanda na uwekezaji, pamoja na maeneo muhimu ya matumizi ya binbandamu na wanyama ambayo hajapimwa ila kwa sasa kila Tarafa,kata na kijiji tunaenda kupima kwa kutumia wataaalam wa Halmashauri na vifaa vyetu wenyewe na sio vya kukodisha  alifafafnua Mabula

‘’kupitia kifaa hiki cha kisasa sasa tunaendalea  kupanga matumizi bora ya ardhi kisasarwe kwa kila eneo cha muhimu jamii kufuata taratibu zote za kupima ardhi ili kuondosha matatizo katika jamii’’

hapo mwanzo halmashauri ilikua inatumia fedha nyingi kwa kukodisha vifaa hivi kwa sekta na wapimaji binafsi ila kwa sasa suala hili litasimamiwa na idara ya ardhi kwa vifaa vyetu wenyewe  

 Awali kata za kisarawe, msimbu, kazimzumwi na kiluvya ziliweza kupanga na kupima kwa baadhi ya vitongoji vyake kwa ajili ya matumizi bora ya ardhi kwa kutumia watalaam wa sekta binfsi kulikopelekea kwa kupatikana kwa badhii ya maeneo ya viwanda na uwekezaji kwa baadhi ya kata hizo ambazo kwa sasa zipo katika mamlaka ya mji mdogo kisarawe  

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 July 02, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA МКАТАBA KWA WAKUSANYA MAPATO July 08, 2025
  • MATUKIO MUHIMU YA UKAGUZI WA MBIO ZA MAGARI KITUO CHA KISARAWE KAZIMZUMBWI June 28, 2025
  • Mikopo ya Elimu ya Juu kupitia Bodi ya Mikopo (HESLB) June 17, 2025
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • KIKAO CHA WARSHA YA KUZUIA UKATILI DHIDI YA WATOTO WALIOKATISHA MASOMO WILAYA YA KISARAWE MWAKA 2025

    August 29, 2025
  • WAZIRI DKT JAFO AFUNGA MTAA AKICHUKUA FOMU YA INEC JIMBO LA KISARAWE AMUOMBEA KURA DKT SAMIA MADIWANI 17 KISARAWE

    August 24, 2025
  • WAZIRI DKT JAFO AFUNGA MTAA AKICHUKUA FOMU YA INEC JIMBO LA KISARAWE AMUOMBEA KURA DKT SAMIA MADIWANI 17 KISARAWE

    August 24, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA KISARAWE, PETRO MAGOTI, AZUNGUMZA NA WANANCHI WA HOMBOZA KUHUSU MIGOGORO YA ARDHI

    August 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa