• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

KISARAWE YAJIPANGA KUPOKEA WANAFUNZI WAPYA DC NYANGASA ATOA WITO WAZAZI NA WALIMU KUSHIRIKIANA

Posted on: January 8th, 2024

*KISARAWE YAJIPANGA KUPOKEA WANAFUNZI WAPYA DC NYANGASA ATOA WITO WAZAZI NA WALIMU KUSHIRIKIANA*


Kisarawe-Pwani


Mkuu wa wilaya kisarawe MHE FATMA A. NYANGASA ametoa wito kwa  wazazi na walezi wote kisarawe kuhakikisha  wanawapeleka watoto wao wote wa Darasa la awali,msingi na Sekondari wa kidato Cha kwanza leo 08.01.2024.

Akizungumza wakati wa kukagua na kuangalia maandalizi ya kuwapokea wanafunzi wapya Katika shule za Sekondari na msingi kwa kata ya kisarawe leo huku akiambatana na mkuu wa idara ya elimu awali na  msingi pamoja na kaimu afisa elimu Sekondari amesema


*"Sisi kisarawe tumejipanga kuwapokea wanafunzi wote ambao wanasifa za kuanza shule Mwaka 2024 kwa shule za awali,msingi na Sekondari kisarawe kwa kuwepo na miundombinu ya madarasa,walimu, na vyoo hivyo wanafunzi waje tu alisisitiza*" MHE FATMA NYANGASA


*"MHE DKT SAMIA SULUHU HASSAN amekwisha sema na kuwalipia wanafunzi wote ada za shule hivyo kilichobaki kwa Sasa ni kusoma tu kwa mzazi ni sare na mahitaji mengine hivyo ni kuhimu mzazi ama mlezi kuyasimamia kwa mtoto wake Alisisitiza MHE FATMA NYANGASA

*"Natoa wito kwa Sasa wiki Hii ya kwanza wanafunzi kuja kwa hiari shuleni ilaa baada ya hapo asiyekuja shuleni na Mwalimu mkuu Hana taarifa tutamfuatilia na kumchukulia hatua maana MHE DKT SAMIA SULUHU HASSAN amekwisha lipia wanafunzi wote shuleni*" alisisitiza MHE FATMA NYANGASA


Nae afisa elimu Sekondari amesema kuwa kwa Sasa Zaidi ya asili 89% ya wanafunzi tayari washawasili shuleni na matarajio ndani ya wiki Hii wanafunzi wote kuwasili shuleni kuendelea na masomo,


*"kwa mujibu wa malengo ya Mwaka 2024 ya kupokea wanafunzi halmashauri ya wilaya kisarawe kwa kata zote 17 shule zetu zote zipo tayari kwa ajili ya masomo na tupo asilimia 89% ya waliokusudiwa kuandikishwa Alifafanua*" MWL MATHIAS HASSANI


Aidha Katika ziara hiyo Mkuu wa wilaya kisarawe MHE FATMA NYANGASA alipata Muda wa kutembelea jengo la utawala la halmashauri ya wilaya kisarawe kwa na kutoa ushauri elekezi ili kumalizika kwa wakati jengo Hilo ili kuanza kutumika kunakotoka na mradi huo kupokea Fedha kutoka Serikali Kuu.

Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • Tangazo kwa Umma Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura February 08, 2025
  • MKITANO WA BARAZA LA MADIWANI April 28, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NIMEFURAHISHWA NA MMLIVYOJIPANGA KISARAWE CHATANDA NA ZAINABU

    May 08, 2025
  • OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS SERIKALI MAPINDUZI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYA KISARAWE

    April 30, 2025
  • KISARAWE YAFANYA UTOAJI ELIMU YA DOZI YA NYONGEZA YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO(IPV2)

    April 30, 2025
  • KUVUNJWA KWA BARAZA LA MADIWANI KISARAWE UONGOZI WAJIVUNIA KUKAMILISHA MIRADI MBALIMBALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 5

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa