• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

KISARAWE YAZIFUNGA GPS PIKIPIKI ZA MAAFISA UGANI ILI KUBORESHA UFANISI KAZINI

Posted on: September 12th, 2023

KISARAWE YAZIFUNGA GPS PIKIPIKI ZA MAAFISA UGANI ILI KUBORESHA UFANISI KAZINI


NA

MWANDISHI WETU

Katika kutekeleza agizo la RAIS Dkt Samia Suluhu Hassan kwa vitendo Katika Kuwahudumia wananchi kwa vitendo muda wote ili kupata Mafanikio Bora na makubwa ya Chakula Nchini,


Akiziungumza wakati wa Zoezi la kuzifunga Global Positioning System GPS ili kuzibaini  Pikipiki kuwepo eneo la Kazi Husika na Lengo  lipatikane kwa mtumijiaji wa eneo husika huko Kijijini alifafanua kuwa ni Zoezi zuri na Linaboresha utendaji Kazi kwa Maafisa gani kwa Kata umi na Saba za kisarawe,

"Kumekuwapo na baadhi ya Watumishi  Wamekua sio waaminifu na Kwenda kinyume na Lengo hizi pikipiki katika Matumizi hasa kutumika Nje ya Muda wa Kazi pamoja na Kuwa Nje ya Kisarawe bila ya kibali Cha kuwa Huko Hivyo Zoezi hili ni la Kawaida kwa vyombo vya Serikali ila lengo kumsaidia mkulima kuhudumiwa na maafisa Wetu"



"kupitia Hizi GPS Leo Afisa Ugani akisema pikipiki mbovu tutajua IPO shamba tutajua na IPO Mjini Nje ya Kisarawe tutajua kupitia Kifaa hili pindi tukitafuta maana tunataka Kauli ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan wakati anatukabidhi hizi pikipiki alisema tunataka Maafisa Ugani wakawahudumie wananchi na wakaongeae tija na wigo ili kupata chakula Sasa unapowarahisishia usafiri kama Huu wa pikipiki ufanisi unaongezeka Zaidi alimalizia Ndugu Msangi"

"Tunaenda kuzuia  Matukio mbalimbali yasio rasmi ya  pikipiki kupitia hizi GPS pamoja na kumsaidia mkulima ili aweze kusaidiwa vyema na Maafisa Ugani Wetu katika Maeneo Yao maana tukimwambia Nenda Gwata,Marui, Mafizi,na Masaki tunaona na kujua kupitia GPS Alimalizia Afisa Msangi,"


Aidha katika Zoezi hili la siku Moja kwa Maafisa Ugani wote waliopata pikipiki 38 kisarawe liliongozwa na Kaimu  Msimamizi wa Idara ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi Ndugu Sadiki Msangi kwa kuratibiwa na Watalamu kutoka Wizara ya Kilimo

Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • Tangazo kwa Umma Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura February 08, 2025
  • MKITANO WA BARAZA LA MADIWANI April 28, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NIMEFURAHISHWA NA MMLIVYOJIPANGA KISARAWE CHATANDA NA ZAINABU

    May 08, 2025
  • OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS SERIKALI MAPINDUZI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYA KISARAWE

    April 30, 2025
  • KISARAWE YAFANYA UTOAJI ELIMU YA DOZI YA NYONGEZA YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO(IPV2)

    April 30, 2025
  • KUVUNJWA KWA BARAZA LA MADIWANI KISARAWE UONGOZI WAJIVUNIA KUKAMILISHA MIRADI MBALIMBALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 5

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa