• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

MADIWANI WA HALMASHAURI YA WILAYA KISARAWE WAPITISHA BAJETI YA TSH 41,028,607,050,48 KWA MWAKA WA FEDHA 2024-2025.

Posted on: February 15th, 2024

MADIWANI WA HALMASHAURI YA WILAYA KISARAWE WAPITISHA BAJETI YA TSH 41,028,607,050,48 KWA MWAKA WA FEDHA 2024-2025.


KISARAWE PWANI


Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe leo 15 Februari, 2024 limeridhia na kumepitisha Mpango na Bajeti ya Tsh.  Billion 41.028,607,050.48kwa mwaka 2024/2025. Maamuzi hayo yamefanyika  wakati wa  mkutano maalumu wa baraza hilo uliofanyika katika  ukumbi wa mikutano  wa halmashauri. Fedha hizo zitatumika katika kutekeleza shughuli mbalimbali za utoaji huduma, utawala na utekelezaji wa miradi  ya maendeleo.


Akiwasilisha rasimu ya Mpango na Bajeti ya mwaka 2024/2025 kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri , Afisa Mipango, Bw. Deogratius Lukomanya ameeleza  kuwa bajeti hiyo imezingatia miongozo ya kitaifa na halmashauri. Miongozo hiyo ni pamoja na kupokea mapendekezo kutoka kwa  wajumbe mbali mbali  katika ngazi ya  Wilaya, Kata, Vijiji, Vitengo na Divisheni za Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe,



Aidha, Bw. Lukomanya amefafanua kwamba katika rasimu hiyo ya Bajeti , kiasi cha Bilioni 4,810,513,000.00ni fedha zitatokana na vyanzo vya mapato ya ndani ya Halmashauri, kiasi cha shilingi  Bilioni 22,927,604,104.00 ni ruzuku ya  mishahara ya Watumishi, kiasi cha shilingi milioni 1,498,806,000.00 ni ruzuku ya uendeshaji wa ofisi ( OC) na kiasi cha Bilioni 12,273,452,500,00 ni kwa ajili ya kutekeleza Miradi ya Maendeleo kutoka Serikali kuu,


Naye Mwenyekiti wa Halmashauri MHE ZUBERI KIZWEZWE katika hotuba yake amemtaka Mkurugenzi Mtendaji wa halmasahuri ya Wilaya ya Kisarawe Ndg BEATRICE DOMINIC kuendeleza jitihada alizozianzisha katika kutekeleza majukumu ya halmashauri na kumtaka kutekeleza miradi ya maendeleo kwa wakati  ili wananchi wafurahie matunda ya nchi yao Tanzania “nina  imani kubwa na wewe na sina  mashaka na utendaji kazi wako” amesema MHE KIZWEZWE,



Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Kisarawe Ndg BEATRICE DOMINIC   amefafanua kuwa amebaini kuwa vyanzo vingi vya mapato haviwekwi kwa uhalisia na hata vinavyowekwa havifikii malengo. Hivyo, amewaomba Waheshimiwa Madiwani na kuwataka watendaji wa halmashauri kuwa kitu kimoja na kufanya kazi kwa ushirikiano ili kuleta maendeleo kwa wananchi.


 “Pale ambapo hatufanyi vizuri tuambiwe pasipo kuoneana haya na tunapokosea tukosolewe  kwa kuwa wote tunaijenga halmashauri moja" alisisitiza Ndg BEATRICE DOMINIC

Nae Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Kisarawe Komred Khalfani Sika alimpongeza Mkurugenzi Mtendaji kwa kusimamia vyema ilani ya CHAMA CHA MAPINDUZI CCM KWA vitendo Kisarawe Katika Miradi.

Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • Tangazo kwa Umma Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura February 08, 2025
  • MKITANO WA BARAZA LA MADIWANI April 28, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NIMEFURAHISHWA NA MMLIVYOJIPANGA KISARAWE CHATANDA NA ZAINABU

    May 08, 2025
  • OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS SERIKALI MAPINDUZI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYA KISARAWE

    April 30, 2025
  • KISARAWE YAFANYA UTOAJI ELIMU YA DOZI YA NYONGEZA YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO(IPV2)

    April 30, 2025
  • KUVUNJWA KWA BARAZA LA MADIWANI KISARAWE UONGOZI WAJIVUNIA KUKAMILISHA MIRADI MBALIMBALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 5

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa