• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

MAONYESHO YA WIKI YA VIWANDA MKOA WA PWANI

Posted on: November 4th, 2018

MAONYESHO ya wiki ya Viwanda Mkoa wa Pwani yamefanyika Kibaha kwa kushirikisha Wilaya zote Saba za Mkoa wa Pwani kwenda kuonyesha na kutangaza Bidhaa za Viwandani walizonazo na kutangaza fursa za maeneo tengefu ya uwekezaji ya viwanda kilimo na makazi kwa lengo la kuwarahisishia na kuwavutia wawekezaji kuja kuwekeza katika Wilaya zao bila usumbufu wa aina yoyote ile kulingana na aina ya uwekezaji na uanzishaji wa kiwanda katika maeneo tengefu yanayohitajika hayo yote yakiwa ni utekelezaji wa ilani ya chama cha MAPINDUZI CCM Chini ya Rais John Pombe Magufuli kwa sera ya HAPA KAZI TU

KISARAWE ni miongoni mwa Wilaya zilizopata fursa ya kushiriki katika maonyesho hayo ya wiki ya Viwanda mkoa wa Pwani kwa kuonyesha na kutangaza fursa zilizopo kwa wawekezaji na wajasiriliamali waliopo na wanaotaka kuwekeza kuja kuwekeza kisarawe kutokana na kuwapo kwa dawati la uwezeshaji na uwekezaji kisarawe lenye lengo la kukuza na kutangaza fursa za uwekezaji katika maeneo ya kilimo na mifugo,utali,makazi na viwanda

UWEKEZAJ SEKTA YA KILIMO jumla ya eneo linalofaa kwa kilimo ni ekari 353,500 hekta zinazotumika kwa kilimo ni 30,000 sawa na asilimia 8.5 Banda la Kisarawe liliiitangaza sekta hii kwa kusema uwepo wa Ardhi yenye rutuba na udongo wenye kukubali kwa kilimo cha mazao ya Biashara na Chakula Kisarawe ni vyema kila Mjasiriamali na mwekezaji afikirie kuja kuwekeza katika sekta hiyo kwa ufanisii maana hatapata hasara miongoni mwa mazao yanayokubali kwa uzuri na kutokuadhiriwa na magonjwa ni Mihogo ,Ndizi Mtama,Nazi,Korosho na Viazi Mviringo hasa Kata ya Mafizi,Marumbo,Marui Gwata, Bwama nk

UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA MIFUGO

kutokana na kukua kwa mji na maeneo ya Kisarawe imetenga eneo maaalum la kufugia wanyama na kama Ngombe,Mbuzi na Kondoo sambamba na kutenga eneo la machinjio ya kisasa ya wanyama lililopo katika Kata ya Kazimzubwi Kitongoji cha Vigama ambalo ni kilomita 10 tu kutoka Pugu mnadani ambapo sasa ndio ulipo mnada wa Dar es salaam mifugo ambayo itapelekea kupatikana kwa kiwanda cha Ngozi na madawa kunakotokana na uwepo wa mifugo ya kutosha Kisarawe.

UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA VIWANDA NA MAKAZI, Katika kukabiliana na ongezeko la watu na makazi na ujenzi holela wa miji isiyopangwa duniani Wilaya imetenga eneo makhusi kwa ajili ya uwekezaji wa viwanda na makazi katika kata ya Kazimzubwi kwa ajili ya Viwanda na kata ya Kiluvya kwa ajili ya makazi kitongoji cha kilunya madukani, viwanja hivyo vipo vya aina tatu kulingana na matumizi na mahitaji ya mteja .

UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA UTALII Hii ni fursa ambayoo ni adhimu na yenye kutoa na kuchangia fedha za kigeni kwa wingi na kutoa ajira kwa wadau wenye kujihusisha na utalii kisarawe ina msitu mkubwa wa asili Kama kazimzumbwi ,kola,na hifadhi ya ruvu na taifa ya Sadani ambayo kwa asislimia kubwa ina wanyama wenye kuonekana na wasiokua na madhara sana kwa binadamu ambao ni kivutio cha utalii mfano wa wanyama hao ni Simba,tembo,swala,punda milia ,na wengine wengi ambao wanapatikana katika misitu hiyoo sambamba na uwepo wa mapango ya popo, ndege,kambi ya kinyanyiko ya utalii, na miti asili ya aina mbalimbali kama Mkongo,Mninga Mtondo. Hata hivyoo uwepo wa fursa ya uanzishwaji wa maduka ya vifaa vya utamaduni na pia utalii wa ndani na vituo vya utalii.

MAONYESHO HAYA yalipata fursa ya kutembelewa na wageni waalikwa kwa lengo la kuhamasisha ujenzi na uimarishaji wa viwanda vya mkoa wa pwani kama vile Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri wa Mungano wa Tanzania Mhe DR TULIA , Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi Mhe Selemani Jaffo, Waziri wa Nishati na Madini Dr Kalimani, Waziri wa Viwanda na Uwekezaji Mhe MWIJAGE,Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega,Naibu Waziri wa Nishati Mhe Subira Mgalu, WOTE KWA PAMOJA walisifu mbinu iliyootumika na viongozi wa mkoa wa pwani na wilaya zake kutekeleza kwa vitendo ilani ya CCM kwa kuanzisha maonyesho haya na kutoa wito kuendelea kila baada ya miezi mitatu badala ya kua kila mwaka mmoja ili kuvipa fursa viwanda na vyetu na wajasiria mali wetu kuonyesha bidhaa zao kwa wadau na watanzinia kwa ujumla na jumla 245 walitembelea banda la halmashauri ya kisarawe na 33 walionyesha nia ya kuwekeza kisarawe katika sekta ya kilimo,mifugo ,ufugaji nyuki,elimu,maziwa,viwanda na utalii.

KAULI MBIU ya wiki ya viwanda ni ‘’VIWANDA VYETU UCHUMI WETU’’


Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • Tangazo kwa Umma Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura February 08, 2025
  • MKITANO WA BARAZA LA MADIWANI April 28, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NIMEFURAHISHWA NA MMLIVYOJIPANGA KISARAWE CHATANDA NA ZAINABU

    May 08, 2025
  • OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS SERIKALI MAPINDUZI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYA KISARAWE

    April 30, 2025
  • KISARAWE YAFANYA UTOAJI ELIMU YA DOZI YA NYONGEZA YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO(IPV2)

    April 30, 2025
  • KUVUNJWA KWA BARAZA LA MADIWANI KISARAWE UONGOZI WAJIVUNIA KUKAMILISHA MIRADI MBALIMBALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 5

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa