• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

Mheshimiwa Samia Suluhu Ahimiza Maendeleo ya Haraka Kisarawe

Posted on: October 28th, 2018

Makamu wa  Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amefanya ziara ya kikazi ya siku moja Wilaya ya Kisarawe kwa kukagua  shughuli mbalimbali za maendeleo na kupokea taarifa za miradi inayotekelezwa kwa mujibu ya ilani ya chama cha mapinduzi(CCM).                                      Akiwa kisarawe Mheshimiwa Makamu wa Raisi alikagua na kupokea tarifa ya mradi mkubwa wa maji ya kutoka bomba kuu la maji kutoka Kibamba kuelekea Kisarawe na kukagua ujenzi wa tanki la kuhifadhi maji kiasi cha lita milioni sita unaoendelea eneo la Mnarani Kata ya Kisarawe.                                                                              Aidha Mheshimiwa  Samia alipata muda wa kukagua ujenzi wa barabar za lami  na kusalimiana na wananchi wa kisarawe ambao walifika kumlaki na kupokea salamu zao pamoja na kuwafikishia  salamu za Rais kwa wakazi wa kisarawe katika kusimamia ilani ya CCM kwa vitendo kwa kuwaondolea kero zinazowakabili wananchi.                                                                                                                      Baadae Mheshimiwa makamu wa Rais alitembelea kiwanda cha  kuzalisha kilichopo kata ya Kazimzumbwi na kukagua uzalishaji pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili ambapo uongozi wa Kiwanda walimweleza changamoto ya barabara inayoziunganisha Wilaya ya Kisarwawe na Mako Makuu ya mkoa ambayo waliomba iboreshwe ili iweze kutumika katika kusafirisha bidhaa zao.

Aidha  Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani ameutaka uongozi wa kiwanda cha Saruji kuongeza uzalishaji ,kuongeza ubora   na kupunguza bei hiyo sokoni ili kuwezesha wananchi kumudu gharama za ujenzi zinazotumia saruji.

Mheshimiwa Makamu  wa Rais alielekea Tarafa ya Maneromango ambapo alitmbelea Kituo sha afya cha Maneromango ambapo  ujenzi  wake uligharimu kiasi cha shilingi milioni mia tano na kupokea Msaada wa vifaa tiba kutoka Benki ya NMB.

 Pia Makamu wa Rais wa Jamhuri Muungano wa Tanzania alitembelea shule ya Sekondari ya Maneromango ambayo nia ya kidato cha tano na sita na kukagua bweni la Wasichana,kusikiliza taarifa za Maendeleo ya shule,kupokea taarifa kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe Ndugu Mussa Gama kuhusu operesheni maalum ya kuborehs kiwango cha ufaulu kwa jina  maarufu la OPERESHENI ONDOA ZERO.

Makamu wa rais aliambatana na mawaziri wa Maji mheshimiwa Profesa Makame Mbalawa,Waziri wa TAMISEMI Mheshimiwa Selemani Jafo ambaye pia ni Mbunge wa Kisarawe,Naibu wa ziri wa Nishati Mhe.SubIra Mgallu,Naibu Waziri wa Kilimo mhe, Omar Mgumba ,Naibu Waziri wa ujenzi Mhe.Nditiye ,Mkuu wa Mkoa wa Pwani Injinia Evarist Ndikilo,Mkuu wa  Wilaya ya Kisarawe Mheshimiwa Jokate Mwegelo  na Wataalamu wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya Ndugu Mussa Gama.  

Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • Tangazo kwa Umma Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura February 08, 2025
  • MKITANO WA BARAZA LA MADIWANI April 28, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NIMEFURAHISHWA NA MMLIVYOJIPANGA KISARAWE CHATANDA NA ZAINABU

    May 08, 2025
  • OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS SERIKALI MAPINDUZI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYA KISARAWE

    April 30, 2025
  • KISARAWE YAFANYA UTOAJI ELIMU YA DOZI YA NYONGEZA YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO(IPV2)

    April 30, 2025
  • KUVUNJWA KWA BARAZA LA MADIWANI KISARAWE UONGOZI WAJIVUNIA KUKAMILISHA MIRADI MBALIMBALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 5

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa