• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

MKURUGENZI WA SERA NA MIPANGO OR-TAMISEMI AKAGUA MIRADI YA ELIMU SEKONDARI KIMANI NA JENGO LA UTAWALA ATOA PONGEZI KWA MKURUGENZI MTENDAJI KISARAWE KWA KUSIMAMIA MIRADI KWA UFANISI NA UBORA

Posted on: December 1st, 2023

"MKURUGENZI WA  SERA NA MIPANGO OR-TAMISEMI AKAGUA MIRADI YA ELIMU SEKONDARI KIMANI NA JENGO LA UTAWALA  ATOA PONGEZI KWA MKURUGENZI MTENDAJI KISARAWE KWA KUSIMAMIA MIRADI KWA UFANISI NA UBORA


KISARAWE PWANI


Mkurugenzi wa Sera na Mipango OR-TAMISEMI Ndg JOHN MIHAYO CHEYO  amefanya ziara maalumu ya ukaguzi wa Miradi ya Elimu Sekondari na Jengo la utawala la  Wilayani Kisarawe 22.12.2023.


Akitembelea miradi mbalimbali Hiyo Ndg JOHN MIHAYO CHEYO  amesema kuwa Lengo la ziara hii ni kuhakikisha kuwa Wana-kisarawe wanapata huduma ya Elimu  bora, Sambamba na kuonesha kazi kubwa inayofanywa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika sekta ya Elimu na Utawala  Kisarawe kupitia Fedha mbalimbali zinazoletwa na Kusimamiwa na Mkurugenzi Mtendaji Kisarawe.


Aidha katika ukaguzi Huo wa miradi ya kimani na Jengo la utawala la Kisarawe pia alikagua  hali ya ujenzi wa Miundombinu ya Bweni,Bwalo na Vyoo vya  shule ya kimani Sekondari na kupongeza kwa jitihada walizotumia za kusimamia vyema ujenzi wa jengo la utawala na ujenzi wa Madarasa,Vyoo,Bweni,na Bwalo katika shule ya kimani

Sambamba na hapo  alisisitiza mambo Muhimu ya kuzingatia ili Miradi iishe kwa Wakati ikiwamo kuendelea zaidi kutoa ushirikiano na usimamizi wa Mzuri Kama wa Awali,

Hi Miradi Kwa Sasa ipo hatua za mwisho Kumaliza ila nimevutiwa Sana na usimamizi Mzuri wa Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya Kisarawe katika Miradi hii hivyo nashauri kuendelea na utekelezaji wa Miradi hii kufika asilia Mia Moja asisitiza Ndg JOHN MIHAYO CHEYO,


Katika hatua nyingine, Ndg JOHN MIHAYO CHEYO amesitiza juu ya adhma ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan juu ya kila mwanafunzi anapata Fursa ya kusoma  sambamba na kutunza miundombinu yote ya Elimu pamoja na Watumishi kufanya Kazi katika Mazingira mazuri ya majengo na Kuboresha utoaji huduma kwa kuwahudumia wananchi katika Mazingira Bora kwa Kuboresha majengo ya utawala Nchini,

Aida  kwa hatua nyengine alimpongeza mkurugenzi mtendaji kwa kupanga bajeti ya mapato ya ndani kumalizia miradi mbalimbali ya halmashauri ikiwemo mradi wa bwalo katika shule ya sekondari ya kimani alipongeza mkueugezi wa sera na mipango Ndg JOHN MIHAYO CHEYO


Mwisho,Ndg JOHN MIHAYO CHEYO  amesisitiza  waliopewa dhamana za kutekeleza miradi ya Elimu Wilaya ya Kisarawe kufanya kazi kwa ufanisi, ubora na kwenda na wakati ili kukamilisha miradi husika.

Mkurugenzi wa Sera na Mipango OR-TAMISEMI  ameambatana na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe Ndg. BEATRICE DOMINIC  Kaimu wa idara ya ujenzi na Miundombinu Wilaya Kisarawe Eng Leonard Mashaka,Mkuu wa idara ya Mipango Ndg Deogratius Lukomanya,Mkuu wa idara ya Elimu Sekondari Mwl Edith Fue, Afisa Vifaa Sekondari Slo Hassan Mathius.

Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA-AWAMU YA PILI TAREHE 16-22 MEI 2025 May 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • KUITWA KWENYE SEMINA YA ANUANI ZA MAKAZI March 30, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • JIMBO LA KISARAWE LATOA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGAKURA AWAMU YA PILI

    May 14, 2025
  • JIMBO LA KISARAWE LATOA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGAKURA AWAMU YA PILI

    May 14, 2025
  • JIMBO LA KISARAWE LATOA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGAKURA AWAMU YA PILI

    May 14, 2025
  • JIMBO LA KISARAWE LATOA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGAKURA AWAMU YA PILI

    May 14, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa