• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

MSIWAFANYIE UPANDIKIZAJI WAWEKEZAJI KATIKA ARDHI-JK KIKWETE

Posted on: October 6th, 2022

MSIWAFANYIE UPANDIKIZAJI WAWEKEZAJI NA WADAU KATIKA ARDHI-JK  KIKWETE

Na

Mwandishi Wetu 


Rais Mstaaafu wa Tanzania awamu ya Nne Mhe Dr Jakaya Kitwete leo 06.10.2022 ametembelea mabanda Mbali Mbali katika Maonesho ya Viwanda, Biashara na uwekezaji mkoa wa Pwani Wilaya kibaha huku akitoa wito kwa Wizara na Taasisi za serikali kuacha tabia ya kuwasumbua Wawekezaji pindi wanatotaka kuwekeza katika Uchumi na Ardhi kuendana na kauli ya Zilongwa zitendwa kwa kutokuwafanyia tabia ya Upandikizaji yaani umiliki Zaidi ya mmoja eneo la Ardhi,



Akizungumza wakati wa ukaguzi wa   Maanda ya Maonesho ya bidhaa katika Banda la Wizara ya Ardhi,Nyumba na  maendeleo ya Makazi alikemea tabia ya baadhi ya Mafisa wasio waminifu kwa serikali kwa tabia ya kuuza maeneo ya uwekezaji na makazi  Mara mbilimbili na kuleta kero kwa Mwekezaji na Raia,


"Hivi nyie Hampimii na kuuza viwanja na maeneo ya uwekezaji hamuuzi kwa kubandia bandi viwanja kwa Mwekezaji Zaidi ya mmoja huku akionyesha ishara ya mayele aliuliza Dr Kikwete*"


" Tabia hii ya kuuwauzia Watu viwanja mtu ama Tasisi zaidi ya mmoja huleta Taharuki sio nzuri na kurudisha Nyuma maendeleo Baada ya mtu kutaka kuwekeza ama Kujenga Sasa anakua Muda wote anatafuta suluhishi la Ardhi hii Hapana alimalizia Dr Kikwete"


"Pwani tuna Ardhi nzuri na salama Naomba tutumie fursa hiyo kwa maendeleo na sio vinginevyo  na pia tutumie fursa ya Usalama na ulinzi wa maeneo yetu kwa raia na wawekezaji wetu Pwani"


Aidha pia alizitaka Tasisi nyengine za serikali zinazohusika na Masuala ya maendeleo na uwekezaji Kama na Kutoa ruhusa za maeneo Kama Osha,Zimamoto, T.R.A Ruwasa, T.I.C Tanesco Nk  kutekeleza majukumu Yao kwa mujibu wa sheria ili kuvutia wawekezaji kwa Ufanisi wa Maombi pindi wanapowasilisha kwao kwa Muda mchache Kama mnavyowambia Kuwa waje kuwekeza Basi iwe Hivyo na sio vinginevyo,


"Nimefika pale BRELA nimeuliza  kusajili kampuni Ni Muda gani nachukua kukamilika nikajibiwa Kuwa Ni Siku Nne Kama kweli hiii ipo vizuri ninawapongeza na  inachochea maendeleo  Hivyo badilikeni nataka iwe Kama wazaramo wanavyosema Zilongwa zitendwa kwa Pwani alimalizia Dr Kikwete"

Nae kamishna wa Ardhi msaidizi mkoa wa pwani ndugu Hussein Sadiki  alisema Kwamba,


 "Tunawatoa hofu watanzania wote kwa ujumla kwa Sasa Mkoa wa Pwani katika Wilaya ya Mkuranga kibaha na kibaha mji na chalinze tumeanza kuboresha umiliki wa Tarifa za umiliki kisasa Hivyo hakitakua na upandikizaji wa Umiliki na Mwaka wa Fedha wa mwakani tunatgemea kuendelea kwa Wilaya nyengine yote hii Ni kuboresha na kuondosha Matatizo  mbalimbali ya Umiliki Ardhi alimalizia Sadiki"

Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • Tangazo kwa Umma Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura February 08, 2025
  • MKITANO WA BARAZA LA MADIWANI April 28, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NIMEFURAHISHWA NA MMLIVYOJIPANGA KISARAWE CHATANDA NA ZAINABU

    May 08, 2025
  • OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS SERIKALI MAPINDUZI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYA KISARAWE

    April 30, 2025
  • KISARAWE YAFANYA UTOAJI ELIMU YA DOZI YA NYONGEZA YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO(IPV2)

    April 30, 2025
  • KUVUNJWA KWA BARAZA LA MADIWANI KISARAWE UONGOZI WAJIVUNIA KUKAMILISHA MIRADI MBALIMBALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 5

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa