• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

PINDA,KIZWEZWE, BEATRICE WAWATAKA WANANCHI KUTUMIA FURSA ZA NANENANE KUINUA KILIMO, UFUGAJI NA UVUVI KISARAWE

Posted on: August 1st, 2023

PINDA,KIZWEZWE,  BEATRICE WAWATAKA WANANCHI KUTUMIA FURSA ZA NANENANE KUINUA KILIMO, UFUGAJI NA UVUVI KISARAWE


Na

MWANDISHI WETU


Maonesho ya nanenane Kanda mashariki katika mkoa wa Morogoro, Tanga,Dar es saalam na  Pwani yanayofanyika Mkoani Morogoro yamefunguliwa Leo 01.08.2023 na Waziri Mkuu Mstafu Mhe Mizengo Pinda,


Akizungumza wakati wa ufunguzi wa maonesho hayo Mhe Pinda alisisitiza jamii kulima na Kulinda chakula huku wakitumia Teknologia katika Kilimo cha Kisasa na mkakati ili kupata faida zaidi na Kulinda Chakula nchini,


"Ikiwa Watanzania walio amua kulima basi wakilima Kwa Kutumia Teknologia ya Kisasa katika mazao ya kimkakati basi itakua Vyema na taifa litakua na hifadhi zaidi ya Chakula hasa vyakula vinavyohimili ukame Kwa badhii ya sehemu ambazo zinapata mvua ndogo alisisitiza Mhe Pinda"


Nae Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Kisarawe Bi Betrice Dominic alitoa wito Kwa wakaazi wa Kisarawe na Tanzania Kwa ujumla Kutumia fursa za uwepo wa ardhi zenye rutuba kulima Kwa kasi zaidi kupata maendeleo ya chakula na Kilimo,


"Kisarawe Ina ardhi nzuri Sana hasa Kata za Marui, Mafizi,Kurui na Mzenga na serikali imetoa madawa Kwa ajili ya kusapoti Kilimo ,mifugo basi shime tumieni  fursa hiyo"


Hata hivyo Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Kisarawe Mhe Zuberi Kizwezwe aliwataka Wanakisawe kuwatumia watalaamu wa Kilimo na Mifugo waliopo kata na vijijini katika kupata ushauri wa kitaalamu kupata usalama wa Kilimo na chakula,


"Wananchi wa Kisarawe katika zile kata ambazo zinalima basi ni Vyema wakawatumia watalaamu Wote hao katika kupata msaada wa kuboresha Kilimo cha Kisasa"

Nae afisa Kilimo Ufugaji Kisarawe Ndugu Sadiki Msangi aliwaomba watalaam wa Kilimo na Mifugo Nk kuwa karibu wa Wadau katika kutoa ushauri elekezi ili kufanikisha Kilimo ili kuongeza uzalishaji wenye Tisha.

Maonesho ya nanenane Kanda mashariki mwaka huu yamekuja na kauli mbiu Vijana na Wanawake ni

Msingi imara wa mifumo endelevu ya chakula.


Unaweza pata taarifa mbali mbali kuhusu halmashauri ya Wilaya ya kisarawe kwa kusikiliza vide bofya hapo--->[MAKALA KISARAWE]https://youtu.be/7cUvoR318lA

Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • Tangazo kwa Umma Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura February 08, 2025
  • MKITANO WA BARAZA LA MADIWANI April 28, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NIMEFURAHISHWA NA MMLIVYOJIPANGA KISARAWE CHATANDA NA ZAINABU

    May 08, 2025
  • OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS SERIKALI MAPINDUZI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYA KISARAWE

    April 30, 2025
  • KISARAWE YAFANYA UTOAJI ELIMU YA DOZI YA NYONGEZA YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO(IPV2)

    April 30, 2025
  • KUVUNJWA KWA BARAZA LA MADIWANI KISARAWE UONGOZI WAJIVUNIA KUKAMILISHA MIRADI MBALIMBALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 5

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa