• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

Plan Internationa Kisarawe Yakabidhi Pikipiki Kwa Chombo Cha Watumia Maji kijiji cha Kurui na Mtakayo

Posted on: November 21st, 2018

Plan Internationa Kisarawe Yakabidhi Pikipiki Kwa  Chombo Cha Watumia Maji kijiji cha Kurui na Mtakayo

Shirika la misaada la Plan International Wilaya ya Kisarawe imekabidhi pikipiki kwa chombo cha watumia maji wa kijiji cha mtakayo na kurui kata ya kurui kwa ajili usimamizi na udhibiti wa matumizi ya maji.

Akikabidhi pikpiki hiyo kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe ndugu Mussa Gama, Meneja wa Plan internation Kisarawe Ndugu Philipina Kihupi amesema wanakabidhi pikipiki ikiwa ni ahadi ya waliyoitoa ya kutoa chombo cha usafiri kwa watumiaji maji wa kijiji cha kurui na Mtakayo.

Katika hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika kwenye ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Kisarawe  Ndugu Mussa Gama ameshukuru msaada uliotolewa na Plan kwani utasaidida kwa kiasi kikubwa tatizo la usimamizi wa matumizi ya maji kwa wananchi

Hafla hiyo ilihudhuriwa na Wataalamu mbalimbali wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe akiwemo Mhandisi wa maji wa Wilaya Injinia Majd Mtili ,Wataalam wa maji na maofisa kutoka idara ya maendeleo ya jamii.

Shirika la misaada la Plan International Wilaya ya Kisarawe imekabidhi pikipiki kwa chombo cha watumia maji wa kijiji cha mtakayo na kurui kata ya kurui kwa ajili usimamizi na udhibiti wa matumizi ya maji.

Akikabidhi pikpiki hiyo kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe ndugu Mussa Gama, Meneja wa Plan internation Kisarawe Ndugu Philipina Kihupi amesema wanakabidhi pikipiki ikiwa ni ahadi ya waliyoitoa ya kutoa chombo cha usafiri kwa watumiaji maji wa kijiji cha kurui na Mtakayo.

Katika hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika kwenye ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Kisarawe  Ndugu Mussa Gama ameshukuru msaada uliotolewa na Plan kwani utasaidida kwa kiasi kikubwa tatizo la usimamizi wa matumizi ya maji kwa wananchi

Hafla hiyo ilihudhuriwa na Wataalamu mbalimbali wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe akiwemo Mhandisi wa maji wa Wilaya Injinia Majd Mtili ,Wataalam wa maji na maofisa kutoka idara ya maendeleo ya jamii.

Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • Tangazo kwa Umma Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura February 08, 2025
  • MKITANO WA BARAZA LA MADIWANI April 28, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NIMEFURAHISHWA NA MMLIVYOJIPANGA KISARAWE CHATANDA NA ZAINABU

    May 08, 2025
  • OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS SERIKALI MAPINDUZI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYA KISARAWE

    April 30, 2025
  • KISARAWE YAFANYA UTOAJI ELIMU YA DOZI YA NYONGEZA YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO(IPV2)

    April 30, 2025
  • KUVUNJWA KWA BARAZA LA MADIWANI KISARAWE UONGOZI WAJIVUNIA KUKAMILISHA MIRADI MBALIMBALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 5

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa