• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

RAS PWANI ARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO KISARAWE

Posted on: March 28th, 2024

RAS PWANI ARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO KISARAWE



Kisarawe PWANI.  


Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Ndugu  RASHIDI MCHATTA  amefanya ziara ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo leo 28/03/2024 katika Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe, na kuzungumza na Walimu wa Shule ya Kimani wakiongozwa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe, NDG BEATRICE DOMINIC,


Katika ziara hiyo Katibu Tawala Mkoa alianzia ziara yake Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe ambako alipokelewa na Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe MHE FATMA NYANGASA kabla ya  kupokea taarifa ya utekelezaji wa shughuli za Serikali Kiwilaya, Taarifa iliyosomwa mbele yake na Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya Kisarawe juu ya Miradi anayotembelea ya Jengo la Utawala,Bweni na Bwalo shule ya Sekondari ya Kimani,


Aidha, katika ziara hiyo, Katibu Tawala Mkoa,  Ndugu. RASHIDI KASSIM MCHATTA amefurahishwa na  ushirikiano baina ya Watumishi wa Halmashauri na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani ili kurahisisha utendaji kazi na utoaji huduma kwa wananchi.

Pia ametumia fursa hiyo kueleza vipaumbele vyake kuwa ni kuhakikisha Halmashauri inaimarisha ukusanyaji mapato ya ndani, Kuimarisha utoaji huduma za utalii na kutunza miundombinu ya utalii, kuimarisha na kuboresha utoaji huduma kwa wafanyabiashara wadogo, wa kati na wakubwa, kuboresha miundombinu ya uwekezaji kwa wawekezaji wa ndani na wan je, kuboresha utoaji huduma za ugani kwa wakulima na wafugaji na mwisho ni uboreshaji wa fursa na miundombinu ya uwekazaji wa viwanda, kwani shughuli hizi za ni shughuli mama katika ukuzaji uchumi wa Halmashauri, Mkoa na Taifa kwa ujumla alisisitiza Ndugu. RASHIDI MCHATTA

Aidha Katika ziara Hiyo pia alikagua Ujenzi wa Miundombinu ya Barabara inayojengwa kwa kiwango Cha Lami kutoka Kisarawe mjini Kuelekea kitongoji Cha Kimani kwa umbali Mita 500 sawa na Nusu kilomita.

Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • Tangazo kwa Umma Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura February 08, 2025
  • MKITANO WA BARAZA LA MADIWANI April 28, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NIMEFURAHISHWA NA MMLIVYOJIPANGA KISARAWE CHATANDA NA ZAINABU

    May 08, 2025
  • OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS SERIKALI MAPINDUZI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYA KISARAWE

    April 30, 2025
  • KISARAWE YAFANYA UTOAJI ELIMU YA DOZI YA NYONGEZA YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO(IPV2)

    April 30, 2025
  • KUVUNJWA KWA BARAZA LA MADIWANI KISARAWE UONGOZI WAJIVUNIA KUKAMILISHA MIRADI MBALIMBALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 5

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa