• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

UMOJA, NIDHAMU, HEKIMA NA USHIRIKIANO WA DC,DED KISARAWE WAMFURAHISHA DR MARY MWANJELWA

Posted on: February 25th, 2019

UMOJA, NIDHAMU, HEKIMA NA USHIRIKIANO WA DC,DED KISARAWE WAMFURAHISHA DR MARY MWANJELWA

Katika Kufikia Malengo ya Utawala Bora kwa Watumishi na Wananchi wa Kisarawe uwepo wa Umoja,Nidhamu, Hekima na Ushirikiano wa Mkuu wa Wilaya na ,Mkurugenzi Mtendaji Kumemfurahisha na kuwa ni Jambo la Kuigwa kwa Viongozi Wengine wa Halmashauri na Wilaya Nyengine Nchini 

Hayo yametamkwa na Mhe Dr Mary Mwanjelwa (MB) Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Manejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora  alipokua akiongea na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe ambapo Alipata Wasaa wa  kusikiliza Kero na Changamoto Mbalimbali Wanazokumbana Nazo  Watumishi hao wa Halmshauri na Serikali Kuu katika Kuwahudumia Wananchi Katika Sehemu za Kazi

‘’Umoja Huu wa Viongozi Hawa Vijana wa Kisarawe ni wa Kuigwa Kwani Huko Sehemu Nyengine za Halmashauri Hali Sio Nzuri Kwani Utakuta DC na DED Kila Mtu na lake lakini Hapa Kisarawe Hali Tofauti Kambsa Kwani Kila Mmoja Yupo na Zake za kutatika Kuwahudumia Watumishinna Wananchi Nasema Chapeni Kazi Hapana Kulala awamuu Hii ya Tano sio ya Mchezo Mchezo Rais Anafurahihwa na Utendaji Wenu wa kazi’’ alisema Dr Mwanjelwa

Aidha Dr Mwanjelwa alitoa Wito kwa Mafisa Watumishi Wote Tanzania Kuharakisha Kuwasilisha Tarifa za Watumishi ambao Mpaka sasa Hawajapandishwa Vyeo na kubadilishwa Majukumu yao kwa Mujibu wa Sheria kwa Wale ambao Wanastahiki Kupata Hizo Stahiki Kwani wao Kama Wizara Wameshalitatua Tatizo ambalo Lilikuapo kwa Upande wa Mkoa wa Pwani ila kwa sasa tumelitatua tatizo hili la mpokeaji tarifa ,

‘’Maafisa Utumishi Wote Nchini Nawagiza Kupeleka Tarifa za Watumishi Mnaowasimamia Wizarani   ili kupata stahiki zao kama kupanda vyeo na Recogarization kwa watumishi ambao wanastahiki ili Wapatiwe Haki zao Ndani ya Siku 21 tu’’ alisema Dr Mwanjelwa

Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • Tangazo kwa Umma Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura February 08, 2025
  • MKITANO WA BARAZA LA MADIWANI April 28, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NIMEFURAHISHWA NA MMLIVYOJIPANGA KISARAWE CHATANDA NA ZAINABU

    May 08, 2025
  • OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS SERIKALI MAPINDUZI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYA KISARAWE

    April 30, 2025
  • KISARAWE YAFANYA UTOAJI ELIMU YA DOZI YA NYONGEZA YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO(IPV2)

    April 30, 2025
  • KUVUNJWA KWA BARAZA LA MADIWANI KISARAWE UONGOZI WAJIVUNIA KUKAMILISHA MIRADI MBALIMBALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 5

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa