• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

VETA KUJENGA CHUO CHA KISASA KISARAWE

Posted on: February 14th, 2019

Jumla ya ekari mia mbili za ardhi zitatumika kujenga chuo cha Kisasa cha mafunzo mbalimbali ya elimu ya ustadi na ufundi kata ya kazimzumbwi kisarawe kitakacho simamiwa na chuo cha ufundi na ustadi (VETA) hayo yote yakiwa ni sehemu ya utekelezaji wa ilani ya chama cha mapinduzi (CCM) kwa wananchi wa kisarawe

 Akizungumza wakati wa utambulisho wa Bodi ya VETA kwa Uwongozi wa Wilaya ya kisarawe Mkurungenzi mtendaji wa Wilaya Kisarawe Ndg MUSSA GAMA Alisema kisarawe ina maeneo mengi ambayo yanahitaji kuendelezwa kwa uwekezaji wa kilimo,ujenzi wa viwanda pamoja na uwekezaji wa sekta elimu kama huu wa ujenzi wa chuo cha VETA unaotaka kuanza hapa kwetu kwani ndio uwekezaji wenye tija na manufaa kwa wana kisarawe

’’unapowekeza katika elimu unakua unakomboa taifa kwenda katika mafanikio ya kisasa ya ya kielimu hasa haya ya VETA na Tehama yanayokusudiwa kuanza kwetu maana yatakua na manufaa kwa taifa na kisarawe yote’’ alisema Gama

Alishukuru VETA kwa kukubali kujenga chuo hicho cha kisasa kisarawe kwani jamii hiyo itagomboka kwa kupata elimu na kupelekea kuondokana na umasikini wa maisha kwani jamii kubwa itakua na fursa nyingi za kielimu na taluma na ujuzi pamoja na vipaji mbalimbali  ambazo zimefundishwa katika chuo hicho cha VETA kisarawe.

Nae Mkurugenzi mtendaji wa VETA Dkt Pancra Bujulu alishukuru uwongozi wa wilaya ya kisarawe kwa kukubali kuwapatia eneo hilo ambalo watalitumia kwa ufanisi na mafanikio kama ambavyo imekusudiwa kwa jamii hiyo ya kisarawe na taifa kwa ujumla kwani wao kama VETA kwa sasa fedha za mradi huo tayari zipo tayari kwa ajili ya utekelezaji  tu wa ujenzi huo wa chuo kisarawe

‘’kwa niaba ya bodi ya VETA tunawashukuru sana uwongozi wa kisarawe kwa umoja wenu na ushirikiano katika kuwahudumia wananchi wenu katika kuwapatia huduma bora wanakisarawe sisi tunawahidi kukamilisha mradi huu kwa wakati’’ alisisitiza Dkt Bujulu

Mradi huu VETA utakapo kukamilika kujengwa kisarawe unategemewa kutoa mafunzo ya elimu ya Upishi,Ufundi Sanifu, Kilimo , Magari, Uwashi,Mapambo ,Mapishi,ushoni, Usafi,Mapokezi,Umeme, Sambamba na TEHAMA

Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • Tangazo kwa Umma Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura February 08, 2025
  • MKITANO WA BARAZA LA MADIWANI April 28, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NIMEFURAHISHWA NA MMLIVYOJIPANGA KISARAWE CHATANDA NA ZAINABU

    May 08, 2025
  • OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS SERIKALI MAPINDUZI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYA KISARAWE

    April 30, 2025
  • KISARAWE YAFANYA UTOAJI ELIMU YA DOZI YA NYONGEZA YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO(IPV2)

    April 30, 2025
  • KUVUNJWA KWA BARAZA LA MADIWANI KISARAWE UONGOZI WAJIVUNIA KUKAMILISHA MIRADI MBALIMBALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 5

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa