• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

Washughulikiwe Ipasavyo.

Posted on: April 7th, 2018

Mkuu wa mkoa wa Pwani mheshimiwa Dk Evarist  Ndikilo ameamuru kuwashughulikia wavamizi na waharibifu wa hifadhi za misitu iliyotengwa kisheria kwa ajili ya hifadhi.

Amri hiyo ameitoa hivi karibuni wakati wa maadhimisho ya Mkoa ya siku ya upandaji miti iliyofanyika  kwenye hifadhi ya misitu ya Kazimzumbwi inayopakana na kijiji cha Maguruwe katika Kata ya Msimbu Wilaya ya Kisarawe ambapo zoezi la upandaji miti lilifanyika.

Akiwahutubia mamia ya wakazi na watumishi waliojitokeza kwa pamoja katika zoezi la kupanda miti Dk Ndikilo amesema wananchi  wanatakiwa kulinda misitu yetu kwa ajili ya maendeleo yetu kwani faida zitokanazo na misitu ni kubwa sana tofauti na faida za uharibifu wa misitu.

‘’ tuongeze juhudi za ulinzi katika rasilimali zetu kwani faida za misitu hii ni kwa ajili yetu na wakazi wa mkoa wa Dar es salaam. Na hakuna mtu yoyote atakayeruhusiwa kuvamia  na serikali ipo imara na  wavamizi wote washughulikwe ipasavyo’’Alisema Dk Ndikilo

Aidha katika maadhimisho hayo Mkuu wa Mkoa wa Pwani amewakumbusha wananchi faida za msigi za kuendelea kutunza misitu iliyopo mkoa wa wa Pwani hususani Wilaya ya kisarawe kwani ndiyo chanzo cha maji ya mito yanatirirka kwenda Mkoa wa Dar es salam na ndiyo inayonyonya hewa chafu ya viwanda vingi vilivyopo .

Vilevile ameongeza kuwa Misitu tuliyonayo ndiyo inahifadhi mmomonyoko wa udongo,inahifadhi viumbe hai na dawa za asili pamoja  na kuwa sehemu ya mapafu ya kusafisha hewa tunayoitumia sisi viumbe hai.

Maadhimisho ya siku ya Upandaji miti kimkoa yamefanyika wilaya ya Kisarawe ambapo viongozi mbalimbali walihudhuria wakiwamo Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mheshimiwa Happiness seneda na wakururugenzi Watendaji wa Halmashauri za Kisarawe,Mkuranga na Bagamoyo    

By dkambanyuma

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 July 02, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA МКАТАBA KWA WAKUSANYA MAPATO July 08, 2025
  • MATUKIO MUHIMU YA UKAGUZI WA MBIO ZA MAGARI KITUO CHA KISARAWE KAZIMZUMBWI June 28, 2025
  • Mikopo ya Elimu ya Juu kupitia Bodi ya Mikopo (HESLB) June 17, 2025
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • MAFUNZO YA MFUMO ANUANI ZA MAKAZI KWA WATENDAJI WA VIJIJI NA KATA

    July 07, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA E-UTENDAJI KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA KISARAWE

    July 07, 2025
  • MATUKIO MUHIMU YA UKAGUZI WA MBIO ZA MAGARI KITUO CHA KISARAWE KAZIMZUMBWI

    June 28, 2025
  • MATUKIO MUHIMU YA UKAGUZI WA MBIO ZA MAGARI KITUO CHA KISARAWE KAZIMZUMBWI

    June 28, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa