• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

WATAALAMU WA VIJIJI,KATA KISARAWE WAPEWA MAFUNZO YA MFUMO WA FFARS

Posted on: September 7th, 2023

WATAALAMU WA VIJIJI,KATA KISARAWE WAPEWA MAFUNZO YA MFUMO WA FFARS


NA

Kisarawe Pwani


Halmashauri ya Wilaya Kisarawe kupitia kitengo Cha Fedha na Tehama wameandaa Mafunzo kwa ajili ya Kuwawezesha wataalam wa Elimu, Kilimo Mifugo na utendaji Kisarawe 07.09.2023.


Akizungumza na Wataalam hao Mkuu idara ya ya Utumishi na Utawala Ndug Baptista J. Kihanza aliwataka Wataalam hao kuonesha weledi wa kazi Pamoja na kutumia Vyema  Umakini Mafunzo hayo ili kupata tija,


"Ndugu zangu Watumishi Wote mliopo hapa imani yangu mmepata na mnaendelea kupata mafunzo haya Ya FFARS ili kuleta Umakini Katika maeneo ya kazi alimalizia Ndugu Baptista Kihanza"

Mafunzo hayo ya siku moja kwa Wataalam wa Ngazi ya kijiji na kata kwa Maafisa  watendaji kata, vijiji, na Walimu yamekuja yakiwa na lengo kuboresha ufanisi wa utendaji Kisarawe kwa shule,Vijiji na kata zote 17 za Kisarawe,


Kwa Upende wake msimamizi wa kitengo Cha TEHAMA Kisarawe Ndugu Joseph Kalolo aliema FFARS (Facility financial and Reporting System)  Ni mfumo ambao ukifutwa Vyema na Watendaji kata na vijiji utaboresha usalama wa Kazi zao pamoja na kuboresha utalam Wenu na kuwatoa Shaka kuwa Mfumo huo sio mgumu Bali Mfumo unahitaji umakini


"Huu mfumo wa FFARS Facility financial and Reporting System unasaidia sana Ufanisi wa kazi Katika ngazi zenu Hivyo ni Vyema tukazingatia Umakini Katika Kuutumia alisisitiza Joseph Kalolo"

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 July 02, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA МКАТАBA KWA WAKUSANYA MAPATO July 08, 2025
  • MATUKIO MUHIMU YA UKAGUZI WA MBIO ZA MAGARI KITUO CHA KISARAWE KAZIMZUMBWI June 28, 2025
  • Mikopo ya Elimu ya Juu kupitia Bodi ya Mikopo (HESLB) June 17, 2025
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC MAGOTI APOKEA HATI HATI ZA KIMILA KUTOKA TANAPA

    July 29, 2025
  • ARO KATA JIMBO LA KISARAWE WALA VIAPO

    August 04, 2025
  • MHE.MAGOTI ATEMBELEA BANDA LA KISARAWE NANENANE

    August 02, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO ANUANI ZA MAKAZI KWA WATENDAJI WA VIJIJI NA KATA

    July 07, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa