• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

WAZIRI DKT JAFO ATOKWA NA MACHOZI YA FURAHA AKIFUNGUA MRADI WA MAJI KIJIJI CHA DOLOLO AONGOZA DUA YA KUMUOMBEA RAIS DKT SAMIA

Posted on: January 4th, 2024

WAZIRI DKT JAFO ATOKWA NA MACHOZI YA FURAHA AKIFUNGUA MRADI WA MAJI KIJIJI CHA DOLOLO AONGOZA DUA YA KUMUOMBEA RAIS DKT SAMIA


KISARAWE PWANI


Waziri wa Nchi ofisi ya makamu wa Rais Muungano na Mazingira MHE DKT SELEMANI SAIDI JAFO leo 04.01.2024 amefungua mradi mkubwa wa maji Kata ya mafizi Kijiji Cha Dololo uliogharim Shilingi 263,807,988.20.


Akizungumza wakati ziara ziara ya kukagua miradi mbalimbali ilikua ipo hatua za kukamilika kutoka idara ya afya na elimu na maji amesema kuwa amefurahishwa na hatua ya mradi huo kukamilika,

"Ndugu zangu Wanakisarawe niongee kutoka moyoni kwa kumtanguliza Allah sw Nimefurahi Sana leo hapa Dololo kufungua mradi huu ambao mwaka   20.02.2022 ulianza Kupitia programu ya fedha za Maendeleo ya kupunguza adhari za ugonjwa wa UVIKO-19 alifafanua MHE DKT JAFO


Aidha kwa upande mwengine Meneja wa RUWASA wilaya kisarawe Eng Evangelist Kahwili alifafanua kuwa mradi huo una tenki la maji wenye ukubwa wa mita za ujazo 25 kwenye mnara wenye mita 12 pamoja na Bomba kuu lenye kusafirisha maji kwa tenki la mita 350 kwa kusambaza maji mita 3490 pamoja na kufunga pampu 2 za umeme wa jua alisisitiza ENG EVANGELISTA


Aidha kwa upende mwengine mwenyekiti wa chama cha mapinduzi ccm kisarawe KOMRED KHALIFANI SIKA alimshukuru Mbunge kwa Kitendo Cha kutekeleza ilani ya chama kwa Vitendo maana Mambo mengi na yote yanatekelezwa kwa wakati alifafanua KOMRED SIKA,

mwisho katika ziara hiyo ya kukagua na kutembelea miradi ya pamoja na kuangalia jinsi mfuko wa Jimbo unavyofanya kazi MHE DKT JAFO aliambatana na Kaimu Mkurugenzi Mtedaji Halmashauri  Ndg DEOGRATIUS LOKOMANYA na kumuagiza asimamie kwa wakati ahadi alizotoa kwa vijiji ambayo vina miradi na ameahidi kutoa kutoka mfuko wa Jimbo,


Mwisho kaimu mkurugenzi Mtedaji Halmashauri Ndg DEOGRATIUS LOKOMANYA aliahidi kutekeleza ahadi ya MHE DKT JAFO ambayo ameahidi kwa vijiji vya Chakenge,mitengwe,Gwata,Masimba na Dololo kwa wakati,


"Naomba kukuhakishia kuwa Yale yote uloagiza kwa ofisi ya mkurugenzi Mtedaji Halmashauri yatatelezwa kwa wakati na kwa Vitendo" alisema DEOGRATIUS LOKOMANYA


MATUKIO MBALIMBALI ya picha wakati wa Ziara ya kutembelea na kuzungumza pamoja na kukagua miradi ya afya, elimu,na maji ya Waziri wa Nchi ofisi ya makamu wa Rais Muungano na Mazingira MHE DKT SELEMANI SAIDI JAFO leo katika Kata ya Mzenga, Mafizi aliambatana na Wataalamu  kutoka Ofisi ya mkurugenzi Mtedaji Halmashauri, Ofisi ya RUWASA,Mkuu wa Wilaya pamoja na Tanesco

Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • Tangazo kwa Umma Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura February 08, 2025
  • MKITANO WA BARAZA LA MADIWANI April 28, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NIMEFURAHISHWA NA MMLIVYOJIPANGA KISARAWE CHATANDA NA ZAINABU

    May 08, 2025
  • OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS SERIKALI MAPINDUZI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYA KISARAWE

    April 30, 2025
  • KISARAWE YAFANYA UTOAJI ELIMU YA DOZI YA NYONGEZA YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO(IPV2)

    April 30, 2025
  • KUVUNJWA KWA BARAZA LA MADIWANI KISARAWE UONGOZI WAJIVUNIA KUKAMILISHA MIRADI MBALIMBALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 5

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa