• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

Zaidi Ya Wagonjwa 300,000 Kunufaika Na Huduma Za Afya Zilizoboreshwa Kisarawe

Posted on: November 19th, 2018


Na.kambanyuma David

Zaidi ya wagonjwa laki tatu wanaopata huduma za afya katika Hospitali ya Wilaya ya Kisarawe wanatarajia kunufaika na huduma bora za afya zilizoboreshwa baada ya Hospitali hiyo kupatiwa vifaa tiba Zaidi kwa ajili ya kuwahudumia wagonjwa.

Akikabidhi vifaa tiba hivyo kwa hospitali ya Wilaya ya Kisarawe Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Mb) Mheshimiwa Selemani Jaffo amesema serikali inajitaidi kwa kila hali kuboresha miundombinu na vifaa tiba kwa ajili ya utoaji wa huduma bora kwa wananchi.

Akisoma taarifa fupi kuhusu utoaji wa huduma katika Hospitali ya Wilaya Mganga Mkuu wa Wilaya Ya Kisarawe Dokta Jonathani Budenu amesema hospitali ya Wilaya inapokea wagonjwa kutoka katika vituo vya afya na zahanati baada ya kushindikana matibabu ngazi ya zahanati na vituo vya afya.Kwa sasa inahudumia Zaidi ya wagonjwa laki tatu kwa mwaka.

Aidha Mganga Mkuu amesema katika kutatua changamoto na kuimarisha utoaji wa huduma ,timu ya usimamizi wa huduma za afya ya Wilaya pamoja na timu ya usimamizi ya Hospitali wametumia vyanzo mbalimbali vya fedha ili kutatua changamotohizo kwa kununua vifaa mbalimbali vilivyogharimu kiasi cha shilingi milioni mia moja na kumi na tisa (119,500,000/=).

Vifaa vya uchunguzi vilivyonunuliwa kwa ajili ya utoaji huduma za afya ni pamoja na mashine ya ultra sound iliyogharimu kiasi cha shilingi milioni arobaini na sita( 46,000,000/=),mashine ya kutoa dawa ya usingizi shilingi milioni thelathini na moja (31,000,000/=),Haematology analyser shilingi milioni ishirini na mbila na laki tano(22,500,000/=) Water bath,Chemistry analyser,Baby warmer na Incubator ya maabara ambapo upatikanaji wa vifaa hivi umetumia fedha za RBF, Cost Sharing na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF).

Pia Hospitali ipo katika mipango ya kuimarisha usimamizi na utoaji wa huduma za afya kwa kupanua wodi ya wazazi,upasuaji, kuanzisha kitengo cha Dharura,kujenga jengo la wagonjwa wa nje ‘OPD’,kuanzisha Infusion Unit na kutumia mfumo wa ukusanyaji wa mapato wa kielektroniki kupitia benki ya CRDB.

Hospitali ya Wilaya ya Kisarawe inapokea wagonjwa kutoka katika vituo vya afya vya Maneromango,Chole,Mzenga,Masaki na wagonjwa wanaotoka nje ya Wilaya ya kisarawe kutoka wilaya ya Ilala iliyopo Mkoa wa Dar es salaam.

 

Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • Tangazo kwa Umma Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura February 08, 2025
  • MKITANO WA BARAZA LA MADIWANI April 28, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NIMEFURAHISHWA NA MMLIVYOJIPANGA KISARAWE CHATANDA NA ZAINABU

    May 08, 2025
  • OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS SERIKALI MAPINDUZI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYA KISARAWE

    April 30, 2025
  • KISARAWE YAFANYA UTOAJI ELIMU YA DOZI YA NYONGEZA YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO(IPV2)

    April 30, 2025
  • KUVUNJWA KWA BARAZA LA MADIWANI KISARAWE UONGOZI WAJIVUNIA KUKAMILISHA MIRADI MBALIMBALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 5

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa