• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Kisarawe District Council
Kisarawe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazigira
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA NA UHUSIANO
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji na Nyuki
    • Programu
      • TASAF
      • UKIMWI
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
      • Vivutio vya Mali kale
      • Vivutio vya Utamaduni
      • Vivutio vya Asili
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Teknolojia
    • Industries
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
      • Huduma za Jamii
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba za Viongozi Mbali mbali

BARAZA LA MADIWANI KISARAWE KUJADILI MAJIBU YA HOJA ZA CAG

Friday 9th, May 2025
@KISARAWEDC

Na

Mwandishi Wetu

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Abubakar Kunenge amekutana na waheshimiwa Madiwani na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe 20/6/2023 katika kikao maalum cha Baraza la Madiwani kilichoketi kujadili Hoja za Mdhibiti na Mkaguzi wa hesabu za Serikali CAG kwa mwaka wa fedha 2021/2022 kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe.

Akizungumza katika kikao hiko Mhe. Kunenge ametumia fursa hiyo kupongeza Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe kwa kupata hati safi ya ukaguzi na ametaka kuona hali halisi ya utekelezwaji wa miradi na kutatua changamoto za Wananchi na Watumishi wa Wilaya ya Kisarawe.Vilevile amewaagiza wasimamizi wa miradi kusimamia miradi yote vizuri na kuhakikisha inakamilika kwa wakati pia miradi iendane na thamani ya fedha iliyopangwa.

Aidha amegusia suala la mapato na kuagiza kuangaliwa kwa makini ili kujua vyanzo gani visimamiwe vizuri vitasaidia kuongeza mapato katika halmashauri ya Kisarawe "katika mapato fanyeni operation ili mjue sekta gani mkiiwekea nguvu na kusimamia vizuri itawapa tija zaidi"alisema Kunenge.

Nae Mkaguzi Mkuu wa nje wa Mkoa wa Pwani Bi. Mary Dibago amewaagiza Madiwani na wataalam kuhakikisha hoja zote ambazo hazijajibiwa zinajibiwa.Pia amewaagiza wataalam kuhakikisha wanasimamia vizuri miradi ambayo haijakamilika ili itekelezwe.

Kwa upande wake katibu Tawala wa mkoa wa pwani Rashid Mchata ameshauri viongozi kuwa na mpango mkakati wa utekelezaji pia kumpa ushirikiano Mkaguzi wa ndani ili kuepuka kuzalisha hoja vilevile ameshauri kamati ya fedha ihakikishe kila hoja zinagaiwa kwa wahusika na wapewe muda wa kujibu hoja hizo ili yule atakaeshindwa achukue hatua mapema kabla ya kufika hatua ya baraza pia ameongeza kwa kusema "wasilisheni mwenendo wa kujibu hoja hizo katika ofisi ya mkuu wa mkoa,kuna wataalamu hivyo mtapata fursa ya ushauri wa kitaalam



Matangazo

  • Wito Kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari tarehe 10-11/02/2025 Minaki Sekondari. February 07, 2025
  • Tangazo kwa Umma Kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura February 08, 2025
  • MKITANO WA BARAZA LA MADIWANI April 28, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NOVEMBA 2021 November 09, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NIMEFURAHISHWA NA MMLIVYOJIPANGA KISARAWE CHATANDA NA ZAINABU

    May 08, 2025
  • OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS SERIKALI MAPINDUZI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYA KISARAWE

    April 30, 2025
  • KISARAWE YAFANYA UTOAJI ELIMU YA DOZI YA NYONGEZA YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO(IPV2)

    April 30, 2025
  • KUVUNJWA KWA BARAZA LA MADIWANI KISARAWE UONGOZI WAJIVUNIA KUKAMILISHA MIRADI MBALIMBALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 5

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Kamati ya Fedha kutembelea Ujenzi wa Jengo Jipya la OPD Kisarawe Hospitali
Video

Viungio

  • Utalii wa asili
  • Bima ya Afya (CHF)
  • Historia ya Kisarawe
  • Matukio mbali mbali ya Picha
  • Ukarabati wa Jengo la Upasuaji.
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Kukutana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Maelekezo jinsi ya kutumia Mfumo wa FFARS
  • Orodha ya Madiwani pamoja na Namba za simu

Viungio linganishi

  • OFISI YA RAIS UTUMISHI
  • Baraza la Mitiani ya Taifa
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
  • PPRA
  • Ikulu
  • Ajira
  • Idara kuu ya Takwimu
  • Tovuti ya kupata nakara ya Mshahara
  • Tovuti ya Taifa
  • Bunge
  • Mfumo wa Ununuzi wa Umma NeST
  • Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi wa Watumishi wa Umma (ESS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Kuhusu Sisi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe. Haki zote zimehifadhiwa